Wadau naombeni mnishauri mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2014,
na nilishindwa kuomba chuo kutokana na kuto kuwa na uamuzi sahihi wa kuchagua nini nikasomee.kwahiyo kwa yeyote anaye ijua kozi bora ambayo ajira yake ni ya mojakwamoja ma mshahara wake si wa kubabaisha naomba anisaidie il na mimi mwakani nikaanze kusomea kazi.
Asanteni!
Wadau naombeni mnishauri mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2014,
na nilishindwa kuomba chuo kutokana na kuto kuwa na uamuzi sahihi wa kuchagua nini nikasomee.kwahiyo kwa yeyote anaye ijua kozi bora ambayo ajira yake ni ya mojakwamoja ma mshahara wake si wa kubabaisha naomba anisaidie il na mimi mwakani nikaanze kusomea kazi.
Asanteni!
tatizo hutaki kuwa muwazi kwa nin hujaaply mwaka huu,,,,afu course inategemea pia ufaulu wako kwa hyo napata wasiwasi kukuambia uapply medicine muhimbili wakati ufaulu wako ni wa bachela of education with science pale SAUT