Wa Igima
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 376
- 110
Wadau naombeni mnishauri mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2014,
na nilishindwa kuomba chuo kutokana na kuto kuwa na uamuzi sahihi wa kuchagua nini nikasomee.kwahiyo kwa yeyote anaye ijua kozi bora ambayo ajira yake ni ya mojakwamoja ma mshahara wake si wa kubabaisha naomba anisaidie il na mimi mwakani nikaanze kusomea kazi.
Asanteni!
na nilishindwa kuomba chuo kutokana na kuto kuwa na uamuzi sahihi wa kuchagua nini nikasomee.kwahiyo kwa yeyote anaye ijua kozi bora ambayo ajira yake ni ya mojakwamoja ma mshahara wake si wa kubabaisha naomba anisaidie il na mimi mwakani nikaanze kusomea kazi.
Asanteni!