Peaceful Warrior
Senior Member
- May 28, 2013
- 125
- 28
Nina IV ya 18. HGE
Bam F, Gs F, Geo F, Eco E, Hst S.
Eti jamani mlionitangulia ninaweza kusoma dipl. ya Finance au Ecinomics na vyuo vipi vitanikubali? kama haiwezekani nisome nini kwa sababu ata cheti cha 4m 4 kichafu sana hakiwezi kutumika. msaada wa mawazo.
Bam F, Gs F, Geo F, Eco E, Hst S.
Eti jamani mlionitangulia ninaweza kusoma dipl. ya Finance au Ecinomics na vyuo vipi vitanikubali? kama haiwezekani nisome nini kwa sababu ata cheti cha 4m 4 kichafu sana hakiwezi kutumika. msaada wa mawazo.