Chuoni ndipo mabinti wanapoharibikiwa

Chuoni ndipo mabinti wanapoharibikiwa

Kwa kweli mademu wanatumika hatari
-nyumbani kaacha mchumba
-akifika chuo anakuwa na kajamaa kachuo
-akiwa mtoto mkali lecture nae atatumia
-mtaani kilipo chuo lazima awepo mwamba mwenye vipesa nae lazima ale
-field wato mb e pia

Demu akienda chuo akakuacha mtaani achana nae huyo sio wako tena.
Aiseee [emoji16]

A bitter truth
 
[emoji28][emoji28]
Kuna tabia ya kuweka lawama zote kwa wanawake, kama hao wanawake wako kwenye dunia yao peke yao.

Hii mara nyingi ni tabia ya wanaume wenye frustrations za maisha kwa sababu hawawezi kuvutia/ kuchagua wanawake wanaowataka.

Au pengine wasiojua hata wanataka wanawake wa aina gani.

Wanabaki kuwa na hasira na wanawake, wanataka kuwapangia wanawake wasiowajua jinsi ya kuishi, katika dunia ya leo ambayo hata baba kumpangia binti yake maisha inaweza kuwa vigumu.

Live your life, let others live theirs.

Kama hujapata mwanamke unayemtaka, jiulize wewe mwenyewe, kwa nini? Mapungufu yako ni yapi?
 
Sasa miili yao wameamua kujitanua na matango, wewe shida yako nini?

Unataka kuwapangia wafanyeje kwenye miili yao?

Unataka kuwaingilia watu kwenye raha zao?

Na wewe wakikulazimisha kufanya usichotaka utakubali?
You should feel ashamed, mawazo kama haya yanaleta system zinazodestroy men's power, mawazo kama haya yanaleta ufeminist, mwanamke ni wakuongozwa always, women=weakness, umalaya wa mwanamke una madhara kwa maisha in general. Labda kama unacomment kutafuta likes. I'm suprised with how stupid betas think.
 
You should feel ashamed, mawazo kama haya yanaleta system zinazodestroy men's power, mawazo kama haya yanaleta ufeminist, mwanamke ni wakuongozwa always, women=weakness, umalaya wa mwanamke una madhara kwa maisha in general. Labda kama unacomment kutafuta likes. I'm suprised with how stupid betas think.
Wewe unathibitisha kuwa kuna some weak men wanaotaka ku control wanawake.

Kwao wanaona hiyo ni strength, wakati hiyo ni weakness. Ni insecurity.

Wanaume secure hawana haja ya kutaka ku control wanawake. Pengine hata wanawake wenyewe wanawataka hawa wanaume secure wawaongoze, kwa sababu wanagundua kwamba hawa wanaume wana vipaji vya uongozi, na wanathamini utu wa watu bila kujali jinsia.

Mimi sipo katika u feminism wala patriarchy, mimi nipo katika kutaka kila mtu amuheshimu mwingine na kila mtu aweze kujiamulia mambo yake mwenyewe.

Sasa, wewe ukishaanza na premise kwamba mwanamke ni wa kuongozwa always, unajionesha upo katika enzi za ujima.

Huelewi kwamba wanawake hawako monolithic, wanaume hawako monolithic.

Unapenda majibu mepesi kwa maswali magumu.

Huwezi kuangalia mambo kwa kina na nuance.

Unaishi kwa kukariri.

Wanawake ni nusu ya jamii, watu walioendelea wamejua hili na kuweza kuwashirikisha zaidi wanawake, kuheshimu utu wao, kuwapa nafasi za uongozi. Jamii zinazoshikilia hoja za kijima za "wanawake ni watu wa kuongozwa tu" zimejipunja vipaji vingi vya wanawake.

Ndiyo maana leo hii, jamii zilizowashirikisha zaidi wanawake huko Ulaya na America zimeendelea zaidi kuliko jamii ambazo zinawaona wanawake kama "watu wa kuongozwa tu" huko Africa. Tofauti katika chumi zetu zinatuonesha hilo.

Kama unataka kuendelea kuishi katika umasikini, ujinga na maradhi, endelea tu kuamini "wanawake ni watu wa kuongozwa tu".

Pia, nitake radhi kwa kusema naandika kwa kutafuta likes.Mimi na post some very unpopular opinions and facts hapa, ningekuwa natafuta likes nisingeposts hivyo.
 
You should feel ashamed, mawazo kama haya yanaleta system zinazodestroy men's power, mawazo kama haya yanaleta ufeminist, mwanamke ni wakuongozwa always, women=weakness, umalaya wa mwanamke una madhara kwa maisha in general. Labda kama unacomment kutafuta likes. I'm suprised with how stupid betas think.
Sasa wacha niongee lugha ngumu:

Ninyi ndio watombaji wa hao mabinti, wakipanuka nyuchi msilalamike. Mmewatomba ninyi.

Tena wengine mnavizia vitoto vya sekondari mnaanza kuvitomba vikiwa na umri mdogo, mpaka wanafika chuo kikuu wameshachakaa kwa kutombwa.

Mashimo makubwa mnayasababisha wenyewe. Msilalamike.

Na watoto wenu pia watashughulikiwa vile vile. Na bahati mbaya wataanza kushughulikiwa wakiwa wabichi hawajaota hata maziwa.
 
Wanaume wasiojielewa, wasio na sifa zinazotafutwa na wanawake wanaowataka, hawataisha kulalamikia wanawake.

Wakati tatizo halisi si wanawake, ni hao wanaume wenyewe wameshindwa kuweza kuwavutia wanawake wanaowataka.

Mimi sipati matatizo haya ya kulalamikia mwanamke, kwa sababu mimi ni mwanamme niliyeweza kuvutia wanawake ninaowataka.
Wanawake wengi wa Sasa hawajielewi
 
Sawa, wana haki ya kutojielewa. Ni maisha yao, uamuzi wao.

Kama wewe hupendi mwanamke asiyejielewa, si utafute wako anayejielewa uwaache hao wasiojielewa, tatizo liko wapi?

Au unataka kuwapangia jinsi ya kuishi?
Nimekubali ushauri wako...
 
Back
Top Bottom