Chuoni ndipo mabinti wanapoharibikiwa

Wewe thibitisha mbona unakomalia watu wengine wathibitishe Yale mambo usiyoyapenda
Nithibitishe nini? Nikithibitisha utajuaje nimethibitisha au sijathibitisha?

What is your epistemology?
 
Mwanamke ni chombo cha mwanaume cha kulia bata ile kitu inamuundo ule ili ufix Kwa dudu, unaposema ni miili yao sijui unamaanisha nini mkuu ni bora uendeleee kuhisi Mungu ayupo sjui huo utamu kwenye k aliweka baba yako?
Wewe kwanza jifunze kuandika Kiswahili ujue tofauti ya "ayupo" na "hayupo".

Futa ujinga wa msingi kwanza kabla ya kutaka kujadiliana nami.

Bila aibu unamuita mwanamke chombo cha mwanaume. Wewe lazima una mapungufu makubwa sana katika elimu na ustaarabu. Unaishi enzi za giza bado.

Watu kama wewe na mawazo yenu ya kijima ndio mnaosababisha nchi zetu ziwe masikini, halafu mnatafuta mchawi wenu nani.
 
Unajisifu ujinga hapa jukwaani halafu mnamlaumu Mange kwa ulimbukeni wenu wenyewe.
 
Sasa hivi kila mmoja acheze kivyake, Kama ashafika hadi chuo basi naamini ni mtu mzima anayejitambua Kama ulimshindwa kipindi yuko nyumbani basi hata chuo hutamuweza hivyo basi muache Kama alivyo atakachofanya ni yy binafsi sasa..
 
Hivi wake za watu wenye familia zao hawasomi kwenye hivi vyuo?
 
Kuleni mbususu acheni kuuliza uliza ni kubwa au ndogo
 
Nidhibitishie unayoyasema yana ukwel
 
Hiyo paragraph ya mwisho umeua kaka mkubwa.
 
Pole yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…