Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Jichanganye tu mtaani hakuna kanuni asikudanganye mtu,weka uoga na aibu pembeni anza na mishemishe ambazo wewe unaona ni za kijingajinga,yaan mishe ambazo vijana wengi wanaona noma kuzifanya hasa wasomi
Mi mwenyewe nilishawahi kuingia kwenye mtego uliopo wewe,lakini nilifanikiwa kuushinda,we jiflashi uwe mtu mpya,haitakuchukua muda mrefu utarudi kwenye form
Mi mwenyewe nilishawahi kuingia kwenye mtego uliopo wewe,lakini nilifanikiwa kuushinda,we jiflashi uwe mtu mpya,haitakuchukua muda mrefu utarudi kwenye form