Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Duh mkuu Hi Kali aisee ngoja tuoneJiandae kufeli sana huku mtaani. Yaani kama hujawahi kusup chuo basi huku uta-carry kabisaaaa...
Maisha mtaani hayana sijui formular maalum.
kama wewe ni mtafutaji kweli, angalia mtaaani kwako wana shida gani/ i mean kuna huduma/bidhaa gani haipatikani kirahisi? Je wewe unaweza kuifikisha karibu yao hyo huduma?
kama ndio basi ushapata pesa na utajiri. "We get money by solving other people problems"
No 2 kwa kila dalili wewe sio tajiri na wala huna ndoto za kuwa tajiri, umeshajikatia tamaa na harakati za kuwa tajiri. hiy ni moja ya njia ya kujenga/kupata utajiri. SPEND LESS THAN WHAT YOU EARN.Darasa sio msikiti wa kanisa
Kubana matumizi sio njia ya utajiri
Kuwa mjuaji zaidi ya wengne sio fursa
Kuwa kimya sio tiba ya kukosa hela
Kuwa makini na maamzi yako
Wewe una cleansheet sio honorable. Kumaliza bila sup sio kwamba ndio umepata honors. Angalia scores zako za G.P.A vizuri. Kama zikikaa kwenye graph zinaenda zikiongezeka mpaka ulipomaliza semester ya 6 then that will match your notion.Wakuu nimetoka kumaliza chuo mwaka Jana! Miaka mitatu yote sijawahi Pata hata supplementary (namaanisha Nina degree honorable). huku mtaani mambo yapo tofauti kidogo.
Kuna kiwango flani cha pesa ama cha uchumi nakitafakari nikifike kwa wakati lakini kila nikiload material bado!
Wakuu wenye uzoefu huku mtaani nipeni mbinu ama kanuni jinsi ya kuingiza pesa ya halali.
Nawaahidi mkinipa kanuni izo nitazisoma usiku na mchana sitowaangusha kabisa Nina uhakika na kichwa changu Sana.
Wewe ndio umesema Mimi ni miongoni mwa matajiri wakubwa mkoa wa mbeyaNo 2 kwa kila dalili wewe sio tajiri na wala huna ndoto za kuwa tajiri, umeshajikatia tamaa na harakati za kuwa tajiri. hiy ni moja ya njia ya kujenga/kupata utajiri. SPEND LESS THAN WHAT YOU EARN.
Hahahaa ndio shida ya kukariri badala ya kuelewa. Bila shaka naamini chuoni ulifundishwa somo la ujasiriamali na ukalifaulu vizuri tu.. sasa sisi standard seven unataka tukusaidieje "msomi wa elimu ya juu" kabisa!?Wakuu nimetoka kumaliza chuo mwaka Jana! Miaka mitatu yote sijawahi Pata hata supplementary (namaanisha Nina degree honorable). huku mtaani mambo yapo tofauti kidogo.
Kuna kiwango flani cha pesa ama cha uchumi nakitafakari nikifike kwa wakati lakini kila nikiload material bado!
Wakuu wenye uzoefu huku mtaani nipeni mbinu ama kanuni jinsi ya kuingiza pesa ya halali.
Nawaahidi mkinipa kanuni izo nitazisoma usiku na mchana sitowaangusha kabisa Nina uhakika na kichwa changu Sana.
japo sikujui ila napinga hili kwa asilimia mia moja. tajiri mkubwa hawezi kutoa mawazo kama yako hapo juu.Wewe ndio umesema Mimi ni miongoni mwa matajiri wakubwa mkoa wa mbeya
Sawa ila nilitoa kulingana na maelezo yake ungeomba ufafanuzi ningekupa ila kwa kuwa umehukumu basi endelea na mawazo unayo niwaziajapo sikujui ila napinga hili kwa asilimia mia moja. tajiri mkubwa hawezi kutoa mawazo kama yako hapo juu.
Umenifanya nitabasamu kwa huzuni!!! Kwamba vijana wanagraduate vyuo kwa hanaroble degree alafu hawajui tena waanzie wapi wakirudi kitaa kana kwamba miaka yote walikuwa wanajifurahisha vyuoni.Kwani huko chuo walikufundisha kufanyaje ?
Je, unachotaka kukifanya ndicho ulichofundishwa chuo kukifanya ?
Kama HAPANA kwanini ufanye kitu ambacho hukuona kama unakihitaji tangu mwanzo ?
π π π π π πMkuu fuga ng'ombe, utauza maziwa, kwato, ngozi, pembe... Utapiga hela sana