Watafiti wa afya ya uzazi Chuo Kikuu cha Milan Italia wamesema wanaume wanaokunywa chupa 1 ya bia au glasi 1 ya mvinyo kwa siku wana mbegu bora kuliko wasiokunywa na kuwa mbegu zao zina uwezo mkubwa wa kuogelea. Utafiti huo umechapishwa katika jarida maarufu la tiba la Andrology.
Sio mimi, nimeikuta somewhere..ndo mambo ya watafiti hayo,fanyeni kuanza Kunywa kidogo kidogo ambao hamnywagi,[emoji1] [emoji1]
Sio mimi, nimeikuta somewhere..ndo mambo ya watafiti hayo,fanyeni kuanza Kunywa kidogo kidogo ambao hamnywagi,[emoji1] [emoji1]