Chupi inavaliwa wapi?

Mbona una jazba weye, huku jokes/utani tunapumzisha akili with trivial things.


Sina jazba. Najaribu kusisitiza tu-maintain status ya great thinkers. Yaani hata kama ni kona ya jokes na utani, tuwe kweli tunaleta vitu standards ambavyo vinakubalika kweli kuwa jokes & utani.

Hapa ninachoona ni ulimnbukeni wa kutumia mtandao kutweza sehemu tukufu alizotupatia Mola wetu kuhusu dhima nzima ya uumbaji. Na mbaya zaidi watu kama wewe mnashindwa kuliona hili.

Kama mnafurahia kuzitweza sehemu zenu za uzazi mnaweza mkajiandikisha kule kwa akina Kibs mkaendeleza libeneke.

Narudia tena, MODS FUTA HII TAFADHALI.
 
Hahah hahahah Jina lako means a lot Mtindiowaubongo!!
 
Kuzui makalio yasitingishike...kwa wale wanao vaa makaputura...
 



Yani afute ulichoandika sio?
 
Labda nami niongeze swali. Kwa kawaida nguo ya ndani kwa mwanaume inavaliwa ili kuzuia sehemu zake za siri zisitingishike na kuchubuka, je kwa wanawake zinavaliwa ili kuzuia nini?

ili za mwanaume zinapotingishika zisiingie kwenye za mwanamke na zote kuchubuka!
 
Asante mtindio, pale tunapofikia kusema kuwa maadili yazingatiwe we mean it........!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…