Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inavaliwa baada ya shughuli fulani
1) Baada ya kuoga
2) Baada ya Kunya
3) Baada ya shughuli ya baba na mama
Ongezeni mengine
4) Baada ya kupata tiGo
5) Wakati wa mambo flani kwa wenzetu kuvuja.
6) n.k
WAUNGWANA TUVUNJE MBAVU KIDOGO
..................nauliza hiviiiiii,NANI ANAJUA CHUPI INAVALIWA WAPI?me kila nikijiuliza sielew,
a)SEHEMU ZA SIRI
B)matakoni
c)kiunoni
d)sijui wapi aisee
tusaidiane mawazo hapa
Labda nami niongeze swali. Kwa kawaida nguo ya ndani kwa mwanaume inavaliwa ili kuzuia sehemu zake za siri zisitingishike na kuchubuka, je kwa wanawake zinavaliwa ili kuzuia nini?
Mods scrap this idiotic thread pls
Mbona una jazba weye, huku jokes/utani tunapumzisha akili with trivial things.
Labda nami niongeze swali. Kwa kawaida nguo ya ndani kwa mwanaume inavaliwa ili kuzuia sehemu zake za siri zisitingishike na kuchubuka, je kwa wanawake zinavaliwa ili kuzuia nini?[/QUOTE
kuvuja!!
🙂
Haswaaaaaaaaaa na mkumbushie pia ianweza kuwa ndo tiba ya jina lake!