Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Huku uswahilini tunakoishi haiwezekani maana choo/bafu ni vya kugombania.mnaanikaje chupi nje jamani...chupi,soksi pamoja na taulo vinaanikwa bafuni tena unafunga taa maalum kwa ajili ya kukausha na kuua bacteria