shampondo shila
Member
- Jan 14, 2020
- 19
- 42
Habari za humu wanajukwaa, natumai hamjambo wote.
Kisa changu kipo hivi
Mimi wakati huo nilikuwa naweza tu kuogelea umbali kama mita 3 tu napumzika, sasa siku ya kati kati ya wiki nikaenda zangu coco.
Kupun ga upepo nikafika nikakodisha boya kwa buku nikaingia zangu kwenye maji kuogelea, kwa bahati mbaya au nzuri akaja jamaa mmoja yeye hana boya tukawa tunaogelea pamoja tuanenda mbali zaidi ila yeye ni mzoefu na maji.
Tukasogea mbali kidogo na na kina kifupi cha maji sasa yule jamaa akawa ameshikilia boya langu mimi nikawa naelea kidogo.
Si akaliachia dakika sifuri boya linakaribia ufukweni dah! Nilijuta sana kumpa yule jamaa boya langu, tukawa tunaogelea kurudi ufukweni haikupita hata dk moja nikaanza kuchoka na kuhema sana basi yule jamaa kwa kunisaidia akaniambia nisipige maji kwa mguu nitumie tu mikono.
Nashukuru nilifanikiwa nikaikanyaga tena ardhi ya coco
Ila kwa shida sana
Kisa changu kipo hivi
Mimi wakati huo nilikuwa naweza tu kuogelea umbali kama mita 3 tu napumzika, sasa siku ya kati kati ya wiki nikaenda zangu coco.
Kupun ga upepo nikafika nikakodisha boya kwa buku nikaingia zangu kwenye maji kuogelea, kwa bahati mbaya au nzuri akaja jamaa mmoja yeye hana boya tukawa tunaogelea pamoja tuanenda mbali zaidi ila yeye ni mzoefu na maji.
Tukasogea mbali kidogo na na kina kifupi cha maji sasa yule jamaa akawa ameshikilia boya langu mimi nikawa naelea kidogo.
Si akaliachia dakika sifuri boya linakaribia ufukweni dah! Nilijuta sana kumpa yule jamaa boya langu, tukawa tunaogelea kurudi ufukweni haikupita hata dk moja nikaanza kuchoka na kuhema sana basi yule jamaa kwa kunisaidia akaniambia nisipige maji kwa mguu nitumie tu mikono.
Nashukuru nilifanikiwa nikaikanyaga tena ardhi ya coco
Ila kwa shida sana