Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Angeimba hata mchirikuSnura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
ahahaha,mbona angeimba tu!Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
kabisaaaaAngeimba hata mchiriku
kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una maneno....kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Mtazamo hasi.Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
ahahaha,ila vee ana swag,at least anaweza lingia hilo!kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
PoaMtazamo hasi.
sasa mzee swaga bila tako si ni ziro tu,ngoja yule muuza madawa kifungo chake kiishe uone ve money anavyowekwa pembeni,ahahaha,ila vee ana swag,at least anaweza lingia hilo!
chura wa zamani alishatumbuliwa,wa sasa ni wa mwendokasi!Chura wa sasa harukiruki wala hanesinesi
Chura karudi lakini ni chura feki
Original kafa
unamanisha jacky?yule video queen wa 'she got gwan' ya ngwea?sasa mzee swaga bila tako si ni ziro tu,ngoja yule muuza madawa kifungo chake kiishe uone ve money anavyowekwa pembeni,
Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
Kaangalie IG au nenda you tube kacheck nyimbo zake....Weka picha ya hilo wezere tulione!
Kaangalie IG au nenda you tube kacheck nyimbo zake....
We nae huwezi kujiongeza...Nitajie jina lake kamili nikamuone huko you tube, huku kijijini kupata hizi habari ni adimu sana aisee!