Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
We nae huwezi kujiongeza...
JF bhana, raha sanakawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
haswaaaaunamanisha jacky?yule video queen wa 'she got gwan' ya ngwea?
kwanini mkuuJF bhana, raha sana
Full burdani mkuukwanini mkuu
Hamna msanii mle. MJASIRIAMALI yule.Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
Kwa kweli...Hamna msanii mle. MJASIRIAMALI yule.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] chura magumashi au sioChura wa sasa harukiruki wala hanesinesi
Chura karudi lakini ni chura feki
Original kafa
Ila ule msambwanda anajua kuutumia[emoji39]Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
NdioIla ule msambwanda anajua kuutumia[emoji39]
Hahahahahaha eti skonzi..... kuna jamaa anaitwa jux ndo usingizi wake huokawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Na wewe kwani ni ukuni?Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.
Lile ni tako au Minyama uzembe sehemu za makalioni.Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
HahaLile ni tako au Minyama uzembe sehemu za makalioni.
Na shilole je?Snura bila tako sijui mziki wake ungekuaje....
Asante sana....A true definition ya Tako