Chura Amerudi!

Chura Amerudi!

kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
JF bhana, raha sana
 
Hahaa... Kumbe ndio maana wanaita chura? Na kuruka kichurachura kupo kwenye hayo machezo yao![emoji3]
 
kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Hahahahahaha eti skonzi..... kuna jamaa anaitwa jux ndo usingizi wake huo
 
kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.
 
Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.
Na wewe kwani ni ukuni?
 
A true definition ya Tako
0fgjhs3p53ovtenpv.3bcd6a05.jpg



0fgjhs1634cvh63tt.4e07425a.jpg


0fgjhs61sh6glf4gm.c8029901.jpg



0fgjhs2p8mc9mcjfvg.163aba0b.jpg



0fgjhs7mvh3gn0k8g.863404ac.jpg



0fgjhs2p2uecuj1hlg.89cc29f2.jpg
 
Back
Top Bottom