Chura mwenye laana

Chura mwenye laana

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Kama kchwa cha habari hapo juu, WAKUU hii ipo mitaa karibu yote katika majiji makubwa na miji midogo hadi mikoani yani unakuta demu mkali kikweli kweli lakini ni MALAYA hatari yani AFISA MTOA URODA na kila mtu au asilimia kubwa ya vijana washamtembezea RUNGU na bado kama mgeni ukifika au kuamia mtaa huo ukibahatika kumpata utajiona umepata bonge la demu mixer kujimwambafai kumbe vjana wa hapo mtaani WANAKUCHORA na kukuona ZAMWAMWA.

Je, ushawah kutana na situation kama hii au umeexperience mwenyewe TOA USHUHUDA
 
Kama kchwa cha habari hapo juu, WAKUU hii ipo mitaa karibu yote katika majiji makubwa na miji midogo hadi mikoani yani unakuta demu mkali kikweli kweli lakini ni MALAYA hatari yani AFISA MTOA URODA na kila mtu au asilimia kubwa ya vijana washamtembezea RUNGU na bado kama mgeni ukifika au kuamia mtaa huo ukibahatika kumpata utajiona umepata bonge la demu mixer kujimwambafai kumbe vjana wa hapo mtaani WANAKUCHORA na kukuona ZAMWAMWA. Je ushawah kutana na situation kama hii au umeexperience mwenyewe TOA USHUHUDA
Ukitaka mtakatifu, kaumbe wa kwako mpya. Na hakuna aliye mkamilifu. Tabia hubadilika pia na kuwa mbaya au njema accordingly
 
Kuna demu walikua wanakaa veta mbeya karbu kwao wanafyatua matofal anaitwa tekla wahuni walikua wanapga hatari na demu ni mkali hatari halaf anapenda kucheza dubu la wachina hatari sjua alpotelea wap jaman
Daaah mwamba umenikumbusha mbali kidogo, kumbe na wewe ulipiga pale?? kuna jamaa alikuja mgeni hv alimanusura amuweke ndani(Kuoa) wahuni wakamzuia ila akaona wanamuonea wivu, wiki tu alinyoosha mikono juu kwa Tekla
 
Ila sisi wanaume tunawasimanga sana wanawake wanaogawa mbunye ilihali ni sisi sisi tunaotafuna hizo mbunye...

Laiti kama tungekuwa tunabakia na mchuchu uliyempasua bikira, si haba kungekuwa na idadi ndogo sana ya wadada wa namna hii...
 
Kama kchwa cha habari hapo juu, WAKUU hii ipo mitaa karibu yote katika majiji makubwa na miji midogo hadi mikoani yani unakuta demu mkali kikweli kweli lakini ni MALAYA hatari yani AFISA MTOA URODA na kila mtu au asilimia kubwa ya vijana washamtembezea RUNGU na bado kama mgeni ukifika au kuamia mtaa huo ukibahatika kumpata utajiona umepata bonge la demu mixer kujimwambafai kumbe vjana wa hapo mtaani WANAKUCHORA na kukuona ZAMWAMWA. Je ushawah kutana na situation kama hii au umeexperience mwenyewe TOA USHUHUDA
Baada ya Zwazwa limeingia neno lingine Zamwamwa😂😂😂
 
Back
Top Bottom