Chura zilizosimama kwenye daladala iliyojaza

Mi huwa nawabambia mwanzo mwisho, then nasogeza mdomo wangu karibu na masikio yao na kuwanong'oneza "Hivi dada unafanya makusudi au?" huku nikimcheki response yake, akijibu vizuri tu huwa silazi damu anaposhuka na mimi nashuka

Unaweza kutegwa na wasiojulikana Mkuu
 
wadada mnatufanyia makusudi mkiombwa namba hamtoi tuwe tunaheshimiana jamani na sisi tuna moyo na ukuni
Na siku nikikuona kwenye mwendo kasi nitakufanyia visa ingawa msambwanda sina Nina flat screen
 
Thredi ka hii unachangia kumbe aliyebambiwa ni maza au sista ako.
 
Mimi hata kama tumebanana kiasi gani siwezi ruhusu dada yyte aweke msambwanda wake kwenye gegedo langu..
Sitaki kuaibika
 
Unaweza kutegwa na wasiojulikana Mkuu
Bora utegwe tu, maana vimini kuviona hadi beach[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Umasikini hujawahi kuwaacha watu salama!!

We jamaa nyuzi zako zinasadifu umasikini wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulibahatika siku hizi coaster za posta kupitia Ubungo terminal zinasaidiwa na mwendokas
 
mfadhaiko ndani ya daladala, kuna vijungu vingine ni laini zaid ya sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…