Do go yupo vizuri sana kuna siku alisema aliiba pochi ya mdada akachukua ATM card alipoenda kwenye ATM machine ikampa option ya lugha kati ya English na Swahili akasema " nikachagua English kwa sababu ningechagua kiswahili ingeniletea hela ya Tanzania.. Kuna do go mwingine anaitwa Njoroge yupo vizuri sana ..Bila kumsahau Majimoto wa MombasaNa huyo dogo MCA Tricky? Mi huyu namkubali sana kuliko hao!!
pwahahahaha umenipasua mbavu hahaha ai nimeisha!Do go yupo vizuri sana kuna siku alisema aliiba pochi ya mdada akachukua ATM card alipoenda kwenye ATM machine ikampa option ya lugha kati ya English na Swahili akasema " nikachagua English kwa sababu ningechagua kiswahili ingeniletea hela ya Tanzania.. Kuna do go mwingine anaitwa Njoroge yupo vizuri sana ..Bila kumsahau Majimoto wa Mombasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana,na ile aliyokuwa anasema Tz mnahangaika na Olympic mpate dhahabu wakati mna Diamond!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Do go yupo vizuri sana kuna siku alisema aliiba pochi ya mdada akachukua ATM card alipoenda kwenye ATM machine ikampa option ya lugha kati ya English na Swahili akasema " nikachagua English kwa sababu ningechagua kiswahili ingeniletea hela ya Tanzania.. Kuna do go mwingine anaitwa Njoroge yupo vizuri sana ..Bila kumsahau Majimoto wa Mombasa
Njoroge ni noma na joke zake za baba ake, mtafute hutanuna ukimuangalia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana,na ile aliyokuwa anasema Tz mnahangaika na Olympic mpate dhahabu wakati mna Diamond!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MCA yuko vizuri,ngoja nije nimtafute huyo Njoroge
True ....hii ya skuizi wanaingia wanatuambia venye watu dubai na south sudan wana watch halafu show inaisha after jokes mbili tatu .....the original show by akina nyambane back in the day was way funny and creative than it is now,,they popularized the concept of stand-up comedy in kenya.
churchil is a good show but i dont find it funny anymore to my taste.
the original Redkorna
One hour of the best jokes so u can imgne how 3hrs went....they came to Nakuru and i regretted paying that much money and laughing only 3 times .....just watch trevor noah south african tour before he was discovered the guy is funny man!!...the actual recording is over 3 hours at carnivore restaurant, what you see on NTV is condensed to 1 hour for tv due to time limitation!!!the only aspect I reallly hate is when churchill and is group make tribal joke. these cant sell beyond EA localizing the comedians except for 1 or 2 who stand out!!! its disgusts me to a point I started loosing interest!!!