Churchill show live in Arusha

Churchill show live in Arusha

Swahili_Patriot

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
358
Reaction score
831
Nadhani kuanzia saa tatu usiku hadi saa nane usiku(nafikiria), katika channel ya clouds TV, crown na sinema zetu umekuwa na kipindi cha stand up comedy kinachoitwa Churchill show. Kipindi kina endelea live kwenye ukumbi wa AICC AREANA ARUSHA, hosted by RC Paul Makonda.

Aisee hiki kipindi kimelidhi ubora wa viwango bila ubishi, in other words"it has quality without compromise. " Kama kuna yeyote hajawai kuenjoy vichekesho, nina recommend wa invest muda wao kuangalia hiki kipindi. Sitaki mambo mengi, ila kwa upande wangu I can't wait for profesa hamo apande stejini kuanza kuperform.

It's quality quality n quality. Tanzania tumepiga hatua sana kwenye mpira, music ila kwenye stand up comedy tupo nyuma sana. Ndio maana hatuna hata msanii mmoja wa stand up comedy anayejulikana.

Tumezoea kumuona Eric omondi ambaye ni prd wa Churchill show, aisee naomba nisiongee sana. Kama inawezekana naomba muangalie, ila mumngojee profesa hamo maana jamaa anajua sana. Kila la kheri. Enjoy
 

Attachments

  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    13.5 KB · Views: 5
Comedy za Kikenya au kibongo??
 
Kuna wasanii wa Kenya na watz. Alafu comedy haina nchi kaka, kuelewa lugha tu. Ila ipo mubashara kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili
 
Tanzania timekariri ma commedian wa Kenya maarufu kama omondi na Hamo ambao wakija kazi Yao ni kuwasifia akina Diamond tuu wakifikiri Kila MTANZANIA anawafuatilia au kuwahusudu kama wanavyowahusudu Kenya. Mara ya mwisho amekuja Hamo akawa anamsifu mangiruwe na Sasa yupo jela.

Mimi commedian wa Kenya ninayeona Hana longolongo na anachelesha kweli kweli ni bwana mdogo aitwaye Mc Trick

View: https://youtu.be/kLIOj4FU0iM?si=6uhPugCyWU_aeRdS
 
Back
Top Bottom