naomba kujua tofauti ya hivi vitu wanaJf
CCNA
CCNP
CCDP
CCSP
hizi ni kozi tofauti?
Mkuu,hizi kozi ni tofauti ila lengo lake ni moja kama ifuatavyo..
CCNA ni kozi ya mwanzo kabisa,ni sawa na uji wa maziwa wa asubuhi,kwa nchi zilizoendelea kwenye IT CCNA iz nothing kwa siku hizi,kwani ni sawa tu na knowledge uliyoipata shuleni.
CCNP ni kozi inayofuatia baada ya CCNA ila ili uipate nayo imegawanyika katika makundi matatu,yaani hiyo CCDP imo ndani yake,then baada ya hapo kuna njia mbili,either uishie hapo na uchukue CCIE au uchukue CCSP then uchukue CCIE,kwa kurahisisha kuna CCIE kama tano,Security,Service provide,storage,Routing and Switching(R&S) na ya mwisho ni Voice(VOIP),sasa kama unataka kuchukua hiyo CCIE-Security ni lazima ufanye mtihani wa CCSP(Security Professional),mingine yote haina haja ja CCSP labda kwa matashi yako,ccie NI LAZIMA IFANYIKE kwenye kampuni yao wenyewe,ila kwa bahati mbaya Africa hakuna center so kwa wale wenye uchu na wapo nje ya nchi ndio muda wajameni huu,
Ni hayo tu,kwa mwenye maswali au ushauri anaweza kuniona kwani mimi ndio namalizia CCIE Security soon(China),u can also log to my website niliyodesign kwa ajili ya foreign students here in Wuhan uone jinsi tunavyoishi,
www.fostiw.com ,