Cisco vs Oracle kozi ipi nzuri katika soko la ajira?

Cisco vs Oracle kozi ipi nzuri katika soko la ajira?

Na ipi coz nzuri Kati ya master in information security na master in information technology management. Smhn mwenye uelewa anisaidie
 
Na ipi coz nzuri Kati ya master in information security na master in information technology management. Smhn mwenye uelewa anisaidie
Soko liko sana kwenye infosec, nafikiria ku-divert my career towards IT security pia.
 
Asipoteze muda wake kusoma hivyo vitu. Ndugu hizo ni professional za watu wa network na programmer. Akienda soma ataona chenga tu .
HAHAA.., DAH NI KWELI HIZO NI PROFESSIONAL AMBAZO ZINA BACKGROUND ZAKE HUWEZI KUKURUPUKA TU
 
Back
Top Bottom