Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Nashuhudia nchi nyingi duniani zikijipatia mapesa mengi kwa utaratibu huu, je Tanzania haiwezi kuadopt program hii itasaidia katika kukuza pato la Taifa letu?
America utakapokuwa na dollars 800,000/- uraia kwako ni wa moja kwa moja hakuna mjadala, alimradi watachunguza source ya fedha zako kuhusu uhalali wake na uwe na familia isiyozidi watu 4
Kwanini taifa letu lisipractise zoezi la namna hii, nitaweka baadae nchi mbalimbali zenye program za namna hii ikiwepo pia Spain, Greece, Malta N. K.
America utakapokuwa na dollars 800,000/- uraia kwako ni wa moja kwa moja hakuna mjadala, alimradi watachunguza source ya fedha zako kuhusu uhalali wake na uwe na familia isiyozidi watu 4
Kwanini taifa letu lisipractise zoezi la namna hii, nitaweka baadae nchi mbalimbali zenye program za namna hii ikiwepo pia Spain, Greece, Malta N. K.