City Garden (Mbeya) hawajui kuchoma nyama!

City Garden (Mbeya) hawajui kuchoma nyama!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Nimetoka mishe mishe zangu huko baada ya safari nikaulizia wapi naweza kupata nyama/kuku choma wapambe wakaniambia wahi City Garden, iliyopo sehemu zamani maarufu kama Mafiati.

Pamoja na kabaridi nikaagiza bia baridi na kabla hata sijamaliza glasi moja, sahani ya kuku hiyoo. Kuingiza jino tu, wallahi ikawa kama manati. Vuta, vuta na wewe!

Kuku hana viungo, no marination, generally ni kama amebabuliwa tu na moto.

Nikamwita mhudumu aniitie chef. Chef akakataa kuja, ati yuko busy, kubabua kuku wengine.

Nikamshukuru mhudumu ni nikampa angalizo kuwa kuenda hapo kwa nyama/kuku choma ni mara ya mwisho na awafikishie ujumbe uongozi.
Nikaondoka.
Tukio hili ni jana tu.

Mteja ukitaka kula nyama mbichi wahi City Garden Mbeya.
 
Nimetoka mishe mishe zangu huko baada ya safari ,nikaulizia wapi naweza kupatanyama/kuku choma wapamba wakaniambia wahi City Garden, iliyopo sehemu zamani maarufu kama Mafiati.
Pamoja na kaardi ikaagiza ia bardi a kaba hata sijamsliza glasi moja, sahani ya kuku hiyoo!
Kuongiza jino tu, wallahi ikawa kama manati.
Vuta ,vuta na wewe!
Kuku hana vingo, no marination, generally ni kama amebabuliwa tu na moto.Nikamwita mhudumu aniitie chef.
Chef akataa kuja, ati yuko busy, kubabua kuku wengine.

Nikamshukuru mhudumu ni nikampa angalizo kuwa kuenda hapo kwa nyzma/kuku choma ni mara ya mwisho na awafikishie ujumbe uongozi.
Nikaondoka.
Tukio hili ni jana tu.

Mteja ukitaka kula nyama mbichi wahi City Garden Mbeya.
nunua kachome kwako
 
Kuku anachomwa kwa moto Mdogo, halafu viungo ni muhimu, hizi garlic, ginger na masala.

Ni uvivu kwa mtu ambaye kazi yake ni hiyo kutojifunza vitu hata mtandaoni.

Sometimes nikitaka kujipikia home naingia mtandaoni napata instructions natowa kitu vilevile na taste zote.
 
Back
Top Bottom