Civil Engineer natafuta kazi, HR & Project Managers Naomba Msaada

Civil Engineer natafuta kazi, HR & Project Managers Naomba Msaada

Granite

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
268
Reaction score
624
Nakuja kwenu kwa Mara nyengine nikiwa na maombi ya kupata fursa ya kushiriki katika tasnia ya Ujenzi nikiwa ni kama Mhandisi wa Ujenzi, matamanio yangu ni kutumia ujuzi na Elimu yangu katika kuongeza thamani ya Kazi za Kampuni au taasisi, kushiriki katika kuhakikisha malengo yaliyowekwa na kampuni au taasisi yanafikiwa kwa wakati uliopangwa, gharama nafuu na kwa ubora unaotakiwa.

Ninao uzoefu wa kusimamia Miradi ya Majengo na barabara nilioupata kupitia kampuni kadhaa nilizowahi kujitolea ili kujifunza kazi, Ninaweza kutumia software za Kihandisi kama AutoCAD, Prota, Master series etc, Microfoft Office Package. Ninaweza kuandaa Schedule of Activities, Materials kuandaa Certificates. Nipo tayari kufanya kazi kama Site Engineer, Quality Assurance officer, Structural Design Engineer,

Asanteni Wakuu
 
Wewe si fundi mbona mtaji wako mdogo na kuanza kulia lia
Nunua kono bao,kobilo,pima maji tafuta mafundi wengine uraiani wakupe mchongo wa kujenga

Good luck
 
Nakuja kwenu kwa Mara nyengine nikiwa na maombi ya kupata fursa ya kushiriki katika tasnia ya Ujenzi nikiwa ni kama Mhandisi wa Ujenzi, matamanio yangu ni kutumia ujuzi na Elimu yangu katika kuongeza thamani ya Kazi za Kampuni au taasisi, kushiriki katika kuhakikisha malengo yaliyowekwa na kampuni au taasisi yanafikiwa kwa wakati uliopangwa, gharama nafuu na kwa ubora unaotakiwa.

Ninao uzoefu wa kusimamia Miradi ya Majengo na barabara nilioupata kupitia kampuni kadhaa nilizowahi kujitolea ili kujifunza kazi, Ninaweza kutumia software za Kihandisi kama AutoCAD, Prota, Master series etc, Microfoft Office Package. Ninaweza kuandaa Schedule of Activities, Materials kuandaa Certificates. Nipo tayari kufanya kazi kama Site Engineer, Quality Assurance officer, Structural Design Engineer,

Asanteni Wakuu
Hahahahaaaa kwanini usijiajiri mwenyewe mkuu. au ndio shemeji kakubana uzungushe bahasha
 
Hello dear trainees,
Kwa trainees ambaye hana placement na amesoma kozi hizi Electrical/Civil/mechanical or Telecommunications na yupo tayari kufanya SEAP kwenye miradi ya TANROADS ktk mikoa ifuatayo Songwe,Mwanza,Dodoma,Tanga,Lindi,Mtwara,Tabora,Kasulu,Kibondo na shinyanga.

Naomba aje inbox!

Please it's urgent!

Naomba pia hii taarifa iwafikie trainees ambao hawapo kwa hili group


Best regards
Tyson Kikoti
ERB
0788289257
0657703635
 
trainees ambaye hana placement na amesoma kozi hizi Electrical/Civil/mechanical or Telecommunications na yupo tayari kufanya SEAP kwenye miradi ya TANROADS ktk mikoa ifuatayo Songwe,Mwanza,Dodoma,Tanga,Lindi,Mtwara,Tabora,Kasulu,Kibondo na shinyanga.

Naomba aje inbox!

Please it's urgent!

Naomba pia hii taarifa iwafikie trainees ambao hawapo kwa hili group


Best regards
Tyson Kikoti
ERB
078828925
anatafuta kazi sio trainee
 
Goo
Hello dear trainees,
Kwa trainees ambaye hana placement na amesoma kozi hizi Electrical/Civil/mechanical or Telecommunications na yupo tayari kufanya SEAP kwenye miradi ya TANROADS ktk mikoa ifuatayo Songwe,Mwanza,Dodoma,Tanga,Lindi,Mtwara,Tabora,Kasulu,Kibondo na shinyanga.

Naomba aje inbox!

Please it's urgent!

Naomba pia hii taarifa iwafikie trainees ambao hawapo kwa hili group


Best regards
Tyson Kikoti
ERB
0788289257
0657703635
Good move.
ERB mbarikiwe sana.
 
Kweli Mkuu
Changamkia hyo Fursa kama hutojali,kuna watu wengi nawafahamu wamepata ajira kupitia programme kama hyo!

Well unaweza enda huko ukawa Tanroads utakua karibu zaidi na wakandarasi ukijenga connection nzuri huko unaweza pata ajira pia kupitia hao wakandarasi!
 
Changamkia hyo Fursa kama hutojali,kuna watu wengi nawafahamu wamepata ajira kupitia programme kama hyo!
Well unaweza enda huko ukawa Tanroads utakua karibu zaidi na wakandarasi ukijenga connection nzuri huko unaweza pata ajira pia kupitia hao wakandarasi!
Niliangalia lakini bahati mbaya mikoa yote waliyo na nafasi Sina ndugu wala jamaa, SEAP haina malipo yeyote hivyo itaniwia ugumu kidogo Kumudu gharama za kuishi
 
Niliangalia lakini bahati mbaya mikoa yote waliyo na nafasi Sina ndugu wala jamaa, SEAP haina malipo yeyote hivyo itaniwia ugumu kidogo Kumudu gharama za kuishi
Wewe nenda SEAP Ukipata TANROADS huwezi kosa pesa pale utakuwa unaishi kwa posho, posho yenyewe kubwa ujue posho ya mtu wa SEAP kwa TANROADS nisawa na mshahara wa Engineer wa halimashauri kwa mwezi. na haina hata Kodi unapokea nzimanzima.

Nenda huko jamaa na ndugu utawakuta hukohuko maisha yataendelea na utatengeneza connection hukohuko.
Inabidi ukakae vizuri na Manager.

 
Wewe nenda SEAP Ukipata TANROADS huwezi kosa pesa pale utakuwa unaishi kwa posho, posho yenyewe kubwa ujue posho ya mtu wa SEAP kwa TANROADS nisawa na mshahara wa Engineer wa halimashauri kwa mwezi. na haina hata Kodi unapokea nzimanzima.
Nenda huko jamaa na ndugu utawakuta hukohuko maisha yataendelea na utatengeneza connection hukohuko.
Inabidi ukakae vizuri na Manager.

Kwamba aende akae vizuri na manager ,mkuu hivi ulichokiandika unakielewa?? Mtu wa trainee(SEAP) sio rahisi kama unavyozani mkuu kwa ulichokisema,,,hivo vitu vinaenda kwa ngazii mkuu,natamani kusema sana ila Cha niishie hapa
 
Kwamba aende akae vizuri na manager ,mkuu hivi ulichokiandika unakielewa?? Mtu wa trainee(SEAP) sio rahisi kama unavyozani mkuu kwa ulichokisema,,,hivo vitu vinaenda kwa ngazii mkuu,natamani kusema sana ila Cha niishie hapa
Mkuu sema kuna ndugu zKo tutajifunza kupitia maelezo yako.
Unaficha ficha nini sasa.
 
Kwamba aende akae vizuri na manager ,mkuu hivi ulichokiandika unakielewa?? Mtu wa trainee(SEAP) sio rahisi kama unavyozani mkuu kwa ulichokisema,,,hivo vitu vinaenda kwa ngazii mkuu,natamani kusema sana ila Cha niishie hapa
Watu wanafikiri ni rahisi hao watu wanaofanya SEAP ni Wenzetu kabisa nao wanalia tu, Wengi hawalipwi chochote
 
Sorry but not sorry, unataka kazi ya ofisini huku umesomea kazi ya field?? Jaribu kupambana tu mtaani uchumi huu wa kati job opportunities do not come as often as used to., tumia knowledge uliyonayo kupiga kazi hata za msimu, ila kama unatarajia kazi Dar site Dar utasubiri sana
 
Seap Tanroads watu wanazigombania wewe unasema huna ndugu boya kabisa.. pale kuna michongo na wakandarasi, alowance za site 120,000 unakula kwa siku, wana extra duty ten per day kwa mwezi 260,000 alafu wako fare sana kukusaidia kama mgeni kupigwa kuanzia 1m kuendelea ni kugusa upange geto walau
 
Back
Top Bottom