Sirleh94
Member
- Nov 22, 2018
- 12
- 9
Habari!! Naitwa Salehe nipo Dar, ni muhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil kutoka DIT (2024).
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka miwili kama Civil Technician (Kuanzia 2018). Pia nimefanya kazi viwandani hivyo kuhusu usalama kazini najua.
Natafuta nafasi ya kazi kama Civil Engineer/Technician. Napokea pia ushauri... Karibuni!!
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka miwili kama Civil Technician (Kuanzia 2018). Pia nimefanya kazi viwandani hivyo kuhusu usalama kazini najua.
Natafuta nafasi ya kazi kama Civil Engineer/Technician. Napokea pia ushauri... Karibuni!!