CIVIL Vs ELECTRICAL ENGINEERING

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Ebana bachelor ya fani zilizotajwa hapo juu ni ipi bora zaidi kwenye upande wa mshiko, ajira na kujiajiri? na ni ipi rahisi zaidi kupata ajira?

nifahamisheni ndugu zangu nisije kusota na vyeti vyangu mtaani!!!
 
Nilidhani CIVIL Engineering imeshakuwa dissolved into water resources, structural & highway engineering. Well, issue ya degree VS ajira ipo complex kidogo. Kuna graduate engineers wengi sasa wameajiriwa fani tofauti kabisaaa.

Miaka mingi kidogo niliwahi kujiuliza swali kama lako na nikaomba ushauri kwa watu wengi. By then, Electrical Engineering ilikuwa hot-cake kwelikweli maana kampuni za simu ziikuwa ndo zinaanza na graduate electrical engineers walikuwa wanadakwa juu juu hata kabla hawajamaliza

Kuna mdau (electrical engineering technician) alinishauri nisisome Electrical engineering, bali nijoin Civil Engineering. Sikumbuki sababu kubwa aliyonipa ila mwisho wa siku nilijoin Civil Engineering. Sijajutia uamuzi wangu mpaka leo.
 
Ebana bachelor ya fani zilizotajwa hapo juu ni ipi bora zaidi kwenye upande wa mshiko, ajira na kujiajiri? na ni ipi rahisi zaidi kupata ajira?

nifahamisheni ndugu zangu nisije kusota na vyeti vyangu mtaani!!!


Civil iko vizuri,take it en u'll nvr regret...
 

kwa hiyo nikapige tu electrical au nkifika chuo nikaibadilishe nipige civil? nisaidieni wakubwa manake sijui ipi iko hot zaidi ya mwenzake
 
Ebana bachelor ya fani zilizotajwa hapo juu ni ipi bora zaidi kwenye upande wa mshiko, ajira na kujiajiri? na ni ipi rahisi zaidi kupata ajira?

nifahamisheni ndugu zangu nisije kusota na vyeti vyangu mtaani!!!
Do what you have passion for, trust your own instincts and follow your heart. You will always be at peace.
 

Hapo umenikosha .. Nikakomae na Civil yangu.. Mambo yatakaa level ..Eti mkuu kwenye swala la ajira wapi panalipa zaidi kufanya kazi serikalini au Katika Private sector
 
Hapo umenikosha .. Nikakomae na Civil yangu.. Mambo yatakaa level ..Eti mkuu kwenye swala la ajira wapi panalipa zaidi kufanya kazi serikalini au Katika Private sector

dogo nenda kapige msuli, masuala ya kazi ukimaliza masomo.
 
Wadau na metallurgy and mineral processing eng, iko vip? Wakuu msaada


Mkuu "you'll remember my words"
Nahisi the best engineering courses kwa sasa ni petroleum engineering ikifuatwa na mineral and processing...iko hot kinoma,komaa umalize vizuri then uje ujilinganishe na akina civil,electrical,mechanical nk: utagundua kua haukukosea dira..
 

iko hot ki vipi, fafanua......
 

mkuu nashkru sana tupo pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…