Clara Luvanga aitwa na FIFA kwa Ajili ya Vipimo

Clara Luvanga aitwa na FIFA kwa Ajili ya Vipimo

Utopolo ndyo Timu isiyoisha vioja! Uyu hta bila VAR ni mwanaume kbsa Cameroon walionewa tena dume lililokamaa!
 
He or She's a woman? [emoji15][emoji15]
images (17).jpeg

You may decide

He's a woman / She's a woman
 
Hii haiwezi kuwaharibia wale mabinti kule india?
 
Demu chuma sana iko jeruman kabisa yan tungepata kama hao 10 tunawaweka hata kama hawajui kucheza watawafunga wanawake ni wanawake tu
 
Kama mnavyojua team ya taifa ya soccer upande wa wanawake ilifuzu kushiriki kombe la dunia linaloendelea sasa huko India ila star wa team Clara Luvanga haonekani. Sasa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba Clara ameitwa na FIFA South Africa kwa ajili ya vipimo vya hormone na umri.

Huyu Clara amekuwa akichezea team ya Yanga Princess ya under 17. Sasa inasemekana wakati Tz inatafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia tulicheza na Cameroon, Huyu Clara aliwafunga wa Cameroon magoli matatu na alikuwa na spidi za ajabu yani mbio zisizoelezeka mpaka kuwashtua wa Cameroon ambao walianza kulalamika kuwa Clara ni mwanaume na afanyiwe uchunguzi, wa Cameroon nasikia walitaka mpaka kuingia chumbani cha Clara ili wamvue nguo kwa jinsi alivyowaadhibu kwenye mechi. Baadae wa Cameroon wakapeleka malalamiko FIFA.

Baada ya TZ kufuzu tu kuingia kombe la dunia TFF wakamuondoa Clara kambini maana walijua kabisa kesi inakuja, Na hata baada ya kumuondoa ila bado FIFA iliwaambia TFF wampeleke Clara South Africa kwa vipimo vya hormones.

Inasemekana kwamba Clara yuko South Africa hadi sasa huku vipimo vya hormones vikiendelea na so far wanadai amekutwa na hormones nyingi za kiume hivyo anaweza asiruhusiwe kucheza soccer la kike tena.

TFF ilibidi watoe tamko la Clara alipo na kile kinachoendelea sio kukaa kimya tu. Na inasemekana TFF walikuwa wanajua toka mwanzo Clara ni mtu wa dizaini gani ila walitaka tu wafuzu kuingia kombe la dunia then ndo wamuweke pembeni.

View attachment 2386620

View attachment 2386621

View attachment 2386623

View attachment 2386624
clara we nenda alf ikiwezekana tutaomba mechi ya kirafik tena na Cameroon round hii goal 6
 
Ila sioni kosa la Clara Wala TFF..
mwanamke utamjua kwa uke wake na mwanamme utamjua kwa uume wake hayo mambo ya homoni kuzidi sio kosa lao
Nafikiri tunamhukumu vibaya huyu mwamba.

Sasa tunamnyima haki yake ya msingi.
 
Binafs naona hata yeye amejijua kuwa yeye n wakiume

Angalia hata uvaaji wake

Kuna kitu kimejificha isije akawa anawatembezea bakora wenzie huko kambini?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama mnavyojua team ya taifa ya soccer upande wa wanawake ilifuzu kushiriki kombe la dunia linaloendelea sasa huko India ila star wa team Clara Luvanga haonekani. Sasa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba Clara ameitwa na FIFA South Africa kwa ajili ya vipimo vya hormone na umri.

Huyu Clara amekuwa akichezea team ya Yanga Princess ya under 17. Sasa inasemekana wakati Tz inatafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia tulicheza na Cameroon, Huyu Clara aliwafunga wa Cameroon magoli matatu na alikuwa na spidi za ajabu yani mbio zisizoelezeka mpaka kuwashtua wa Cameroon ambao walianza kulalamika kuwa Clara ni mwanaume na afanyiwe uchunguzi, wa Cameroon nasikia walitaka mpaka kuingia chumbani cha Clara ili wamvue nguo kwa jinsi alivyowaadhibu kwenye mechi. Baadae wa Cameroon wakapeleka malalamiko FIFA.

Baada ya TZ kufuzu tu kuingia kombe la dunia TFF wakamuondoa Clara kambini maana walijua kabisa kesi inakuja, Na hata baada ya kumuondoa ila bado FIFA iliwaambia TFF wampeleke Clara South Africa kwa vipimo vya hormones.

Inasemekana kwamba Clara yuko South Africa hadi sasa huku vipimo vya hormones vikiendelea na so far wanadai amekutwa na hormones nyingi za kiume hivyo anaweza asiruhusiwe kucheza soccer la kike tena.

TFF ilibidi watoe tamko la Clara alipo na kile kinachoendelea sio kukaa kimya tu. Na inasemekana TFF walikuwa wanajua toka mwanzo Clara ni mtu wa dizaini gani ila walitaka tu wafuzu kuingia kombe la dunia then ndo wamuweke pembeni.

View attachment 2386620

View attachment 2386621

View attachment 2386623

View attachment 2386624
Hebu tuletee picha akiwa na wanawake wenzake,Mimi hapa namuona mwanaume kabisa
 
Udhalilishaji tu huo wakati huo huo FIFA inahamasisha mwanaume anaweza olewa na mwanaume na kwa mwanamke pia kuoa mwanamke.
 
Back
Top Bottom