Clara Luvanga aitwa na FIFA kwa Ajili ya Vipimo

Utopolo ndyo Timu isiyoisha vioja! Uyu hta bila VAR ni mwanaume kbsa Cameroon walionewa tena dume lililokamaa!
 
Hii haiwezi kuwaharibia wale mabinti kule india?
 
Demu chuma sana iko jeruman kabisa yan tungepata kama hao 10 tunawaweka hata kama hawajui kucheza watawafunga wanawake ni wanawake tu
 
clara we nenda alf ikiwezekana tutaomba mechi ya kirafik tena na Cameroon round hii goal 6
 
Ila sioni kosa la Clara Wala TFF..
mwanamke utamjua kwa uke wake na mwanamme utamjua kwa uume wake hayo mambo ya homoni kuzidi sio kosa lao
Nafikiri tunamhukumu vibaya huyu mwamba.

Sasa tunamnyima haki yake ya msingi.
 
Binafs naona hata yeye amejijua kuwa yeye n wakiume

Angalia hata uvaaji wake

Kuna kitu kimejificha isije akawa anawatembezea bakora wenzie huko kambini?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tuletee picha akiwa na wanawake wenzake,Mimi hapa namuona mwanaume kabisa
 
Udhalilishaji tu huo wakati huo huo FIFA inahamasisha mwanaume anaweza olewa na mwanaume na kwa mwanamke pia kuoa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…