Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Eti Seedorf ndio kocha mkuu wa timu ya taifa ya Cameroon na Kluveit ndio msaidizi wake. Seedhoff aliwahi kupewa Milan kama interm coach lakini alifukuzwa miezi michache baade. Akaenda Deportivo La coruna kama sikosei akatimuliwa. Hii inamaanisha pamoja na kuwa mchezaji mzuri huwezi kuwa kocha bora.
Bora wote wawili wangebaki huko kwao na kufundisha timu za madaraja ya chini ili kupata uzoefu. Kluvertyeye aliwahi kuwa kocha msaidizi wa kocha wa timu ya taifa ya uholanzi. Hii inaonyesha bado hajiamini ndo maana anajificha kwenye vivuli vya wenzie.
Kuja kufundisha timu za taifa tena za Africa bila kuwa na uzoefu ni kuchafua cv zao. Wajiandae kupata aibu, maana soka la africa ni zaidi ya vituko.
Bora wote wawili wangebaki huko kwao na kufundisha timu za madaraja ya chini ili kupata uzoefu. Kluvertyeye aliwahi kuwa kocha msaidizi wa kocha wa timu ya taifa ya uholanzi. Hii inaonyesha bado hajiamini ndo maana anajificha kwenye vivuli vya wenzie.
Kuja kufundisha timu za taifa tena za Africa bila kuwa na uzoefu ni kuchafua cv zao. Wajiandae kupata aibu, maana soka la africa ni zaidi ya vituko.