Clarification:kuhusu tcu 4th round application

Clarification:kuhusu tcu 4th round application

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
tcu imetangaza ku apply tena thru cas ,hii inawahusu wale waliokosa vyuo 1st,2nd and 3rd round na wale ambao hawakuomba kuwa wanunue vocha kwa 5
0 thousands,waombe tenah,..MWISHO NI TAR. 25 OCTOBER..more info visit tcu.go.tz/ukiona uelewi contact updatedboy*0768260834*
 
tcu imetangaza ku apply tena thru cas ,hii inawahusu wale waliokosa vyuo 1st,2nd and 3rd round na wale ambao hawakuomba kuwa wanunue vocha kwa 5
0 thousands,waombe tenah,..MWISHO NI TAR. 25 OCTOBER..more info visit tcu.go.tz/ukiona uelewi contact updatedboy*0768260834*
Vipi kwa wale wa diploma nao wanaruhusiwa kuapply?
Vp kwa yule anayeanza kuapply for the first time naye anaruhusiwa kuomba mkopo?
Hii imekaa vipi mkuu!
 
Vipi kwa wale wa diploma nao wanaruhusiwa kuapply?
Vp kwa yule anayeanza kuapply for the first time naye anaruhusiwa kuomba mkopo?
Hii imekaa vipi mkuu!

yeah,unaruhusiwa kuomba,mkopo mtatolewa utaratbu later we omba tu
 
Wanabodi,
Nitaendelea kuwapeni somo pale inapohitajika kwa kutumia facts sio mapenzi ya dini kama mnavyofanya. Tanzania ina mabalozi wasiopungua 28 nchi za nje. Wakati wa Mkapa kulikuwa na mabalozi wengi wakristu na sijasikia mtu akidai kuwa ilikuwa udini. Leo hii JK kachagua mabalozi wapya sita imekuwa nongwa hali kati ya hao walioachwa wamo waislaam.
jamani mnaanza kupoteza mbona busara zenu kwa mvuto wa imani. Je, tukikuta bado wakristu wengi mtambatiza JK?

Hiyo SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM inawahusu nini nyie msiokuwa wanachama wa CCM?... Je, hii haizidi kuwapa nguvu zaidi kwamba CCM leo hii wanachagua watu wasiofaa ndani ya chama chao!.. nadhani hii ni furaha kwa Chadema na CUF kwa sababu Makmba hapendwi na watu wengi toka kila dhehebu na kabila. Watu wa kwao wenyewe walimtema itakuwa nyie?. Mkorofi kama Mkapa na ana dharau sana kulingana na habari nilizozipata. Kichama wao wanafahamu faida zake kwao CCM. Binafsi simfahamu vizuri ningependa sana kumchambua kama angekuwa akipigania kiti cha kitaifa. Sekretarieti ya CCM ni ni ileile toka Mkapa isipokuwa kumebadilika kidogo. Rostam alikuwa na wadhifa huohuo toka Mkapa. Kamuondoa muislaam - Ngwilizi na kumweka Jaka Mwambi sehemu muhimu sana ya kichama.

Mwanakijiji,
Kuhusu Mkapa na Udini nitakwambia kilitokea nini. mwalimu Nyerere mwenyewe marehemu alisema kwamba Mkapa kaeneza Udini nchini sasa sijui kama Nyerere nae alikuwa muislaam. Pili, matokeo ya maonezi yote aliyoyasema Mzee Es pale juu ilikuwa wakati wa Mkapa sio Mwinyi isipokuwa nachosema mimi Mwinyi ndiye aliyeruhusu cheche za udini kuanza, Mkapa akazipamba kwa kupuliza. Mkapa alikuwa Mdini wala hakufanya kuficha na ndoto yake ilikuwa muislaam asije kamata kutawala nchi. Mawazo kama haya tu yanadhihirisha mdini acha matendo na visa vyake vya wazi. Ndiye aliyesema mbele wa wana - CCM kwamba Salim hafai, mwarabu hawezi kutawala nchi. Hilo neno pekee kwa kiongozi kama yeye hakutakiwa kulisema ikiwa hakutaka kueleweka kama mbaguzi. Mimi mwafrika na sipendi waarabu lakini sintaweza kusema hivyo hata kama sio mapenzi yangu kwa mwarabu kutawala. Hasa kwa nafasi kama yake... ubaguzi unapozidi akilini hata busara hupotea. Unaposema jambo lazima limekukaa kooni na hisia yako juu ya kundi fulani.
Nimesema mtayasema mengi na bado!..

Na darasa la xaba wanaruhusiwa kuapplyyy......overrrrrrrr
 
Habari wana Jf!
Naomba mwenye hilo tangazo la TCU kwa 4th round application atuwekee,kwani jana nimehangaika kutafuta kwa kutumi simu nimekosa taarifa yote.
 
Back
Top Bottom