kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Habari zilizotufikia ni kuwa tayari clatous chama ametua nchini kujiunga na klabu ya simba kama mchezaji wao mpya pia ili limethibitishwa na kamwaga msemaji wa simba piga makofii kwa simba management kwa kumleta Chama.
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app