Clatous Chama ashiriki chakula cha usiku nyumbani kwa Manji,waongea mambo mazito kwa masaa 3

Hahahah

Eti chota alibadilishana Mawazo Na Manji

Ni Sawa Na kusema Baada ya Chakula Pohamba alibadilishana Mawazo Na Alhaji Aliko Dangote badala ya kusema Baada ya Chakula Pohamba aliwasilisha Changamoto zake Kwa Alhaj Aliko Dangote
Iq ya chura ndogo sana halafu wanasema kocha wao aliwatukana
 
kocha Luc Eymel kazungumza maneno makali ila anaweza kuwa sahihi. sio kwa utopolo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…