Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Hii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ana mikimbio ya kutosha? Is he drive and energyHii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488
Atakua katendewa haki, maana aliona waliompa heshima kama hawafai, Mungu atakua anamlipa kwa wakati sahihi.Mtakuwa mmefanyia ukatili wa hali ya juu. Mmemnyang'anya heshima aliyoijenga Simba kwa miaka mingi.
hii sio vyema sanaHii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488
Bikirah latifah...bado wewe ni bikira au tukufundishe namna ya kubadili iwe mamaa Latifah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio Mungu, utakuwa ni ukatili tu wa vyura.Atakua katendewa haki, maana aliona waliompa heshima kama hawafai, Mungu atakua anamlipa kwa wakati sahihi.
Kuanza au kumaliza hutegemea kiwango cha mchezaji, uwezo au program ya mwalimu pia fitness ya mchezaji.Hii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488
Kabisa kabisa. Hizo 20+ nyingi sana kwa ile speed yake.Sasa aanze kwa kumuweka nan bench?
Au meneja anataka aanze kwa dakika ngapi labda?
Kwa nionavyo labda awe anaanza kwa dakika tano then anatoka.
Gamondi alikua anamtendea haki sana kumpa dakika ishirini plus kwa hii yanga ni heshima kubwa.
Nani akuamini, ulisha haribu taswira yako hapa JFHii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488
FixHii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488
aulizwe Hersi, maana wakati anasaini huo mkataba, hayo maandishi yalikuwapoSasa aanze kwa kumuweka nan bench?
Hii habari yako ingekuwa na Chembe ya Ukweli, basi malalamiko yangepelekwa TFF kwamba Yanga wamekiuka Mkataba.Hii ni kutokana na kutoelewana na Meneja wa Chama
Mkataba unamtaka aanze kila mechi kama atakuwa fit .
View attachment 3070488