The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Bikira anacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikira anacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heshima Kajinyang'anya mwenyewe mkuu.Amekua Kama Malaya anathamini pesa kuliko nyumbani kulikomkuza mwache avune alichopanda.Fuken!!Mtakuwa mmefanyia ukatili wa hali ya juu. Mmemnyang'anya heshima aliyoijenga Simba kwa miaka mingi.
Heshima kajinyang'anya mwenyewe. Kuna wakati pesa siyo kila kitu.Mtakuwa mmefanyia ukatili wa hali ya juu. Mmemnyang'anya heshima aliyoijenga Simba kwa miaka mingi.
Hahaha.Heshima Kajinyang'anya mwenyewe mkuu.Amekua Kama Malaya anathamini pesa kuliko nyumbani kulikomkuza mwache avune alichopanda.Fuken!!
Kweli lakini.Heshima kajinyang'anya mwenyewe. Kuna wakati pesa siyo kila kitu.
huyu wanamtimua. he is nothing in this yanga team.Yale yale saido pale simba hata acheze vibaya vipi lazima utamkuta kwenye kikosi cha kwanza kama na utopolo wameingia mkataba wa hivyo watajuta
Legends has it saying:
"MUDA na NGUVU ndo silaha pekee katika maisha ya bin-adam"....
Meneja wa Chama naye anajizima data, kwahiyo nani asicheze pale DEPORTIVO CLUB de UTOPOLO ili mteja wake acheze hizo dakika 90?..