Claudio Ranieri's farewell statement is heartbreaking.....

Ranieri and Leicester in happier times......

 
Watu wengi waliitabiria hii timu msimu huu utakuwa mgumu kwao yanaweza kutokea kama tukuyu stars walinyanyua kwapa msimu ulofuatia wakashuka daraja. Hii timu baada ya mafanikio yake watu akili zikaikaa timamu na kuwakazia buti matokeo ndio haya nenda claudio historia uloweka hapo ni vigumu mwingine kuja kuipiku.
 
Snakes snakes hakunafadhila naomba washuke daraja no mercy easy to forget the good times but in bad times you will know their try character
 
mourihno anajua uchungu wa kuwa sacked! Leo kavaa nguo yenye CR ya kumuenzi claudio. M naona England kuna shida. Wengi waliochukua ubingwa kama pellegrini, mancini hata mourihno waliambuliwa kufukuza isipokuwa ferguson ambaye aliretire.
 
Pole zake ila mourinyo ana moyo wakiubinadamu kawa sad kwa kitendo mwenzake alichofanyiwa, hope the feelings are still alive in him also
 
Cloudio kufukuzwa si kwa sababu ya ubovu wa team....ni sawa na mtu akipata mafanikio asioyatarajia kwa kipindi kifupi unadhani atafanya nini....they have reached a peak of their careers...kingine kocha hakubadili mbinu alibakia na zile zile akadhani Ndidi angefanya kazi ya Kante kitu ambacho ni tofauti kabisa....km unakimbuka fergie alikua akichukua ubingwa au kua top 3 msimu unaofuata alikua anabadili mbinu ila cloudio alibakia na zile zile ...Big mistake kwake mm naona ndio hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…