Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenger bado yupo yupo umemsahau hapo,bado hajatimuliwamourihno anajua uchungu wa kuwa sacked! Leo kavaa nguo yenye CR ya kumuenzi claudio. M naona England kuna shida. Wengi waliochukua ubingwa kama pellegrini, mancini hata mourihno waliambuliwa kufukuza isipokuwa ferguson ambaye aliretire.
Mkwasa alishaachana na Taiga stars kwa sasa ni katibu mkuu wa Yanga. Taifa stars inafundishwa na Salum MayangaHata huyu mkwasa analelewa lelewa sana,Hana lolote alotufanyia Taifa Stars
Ashinde nn mkuu njaa au?Wanasubiri ashinde. Akishinda msimu huu ujao anatimuliwa