Hata nkana mlisema hivyohivyo..vipi na nyinyi nasikia mmeingia hatua ya makundi ya whatsaapAl Ahly
As Vita
Js Soura
Ndo tutajua ni chama gani. Isije ikawa cha Dovutwa.
akacheze nafasi ya nani?Chama aletewe Bwalya au striker matata. Watafunga sana,huyu Boko wamtoe kwa mkopo Yanga
Chama,Okwi,Kichuya,Boko=MakambovicChama aletewe Bwalya au striker matata. Watafunga sana,huyu Boko wamtoe kwa mkopo Yanga
Nimependa uchambuz wako, umeongea ukwel mtupu, soka unalijua , nikwel kabisa bocco amefel ktk kutumia assist za chama, eneo analokaa bocco angekaa KAGERE AF bocco aanzie benchi, kichuya akae kulia okwi kushoto, au tutafute straika kariba ya kagere aje kutumia vzr pasi za chamaWashambuliaji wa Simba kama wangejua kumtumia Chama basi wangefunga magoli mengi sana sana.
Boko ameshindwa kumtumia chama kabisa, kapewa pasi za wazi nyingi na amezipoteza, kule mbabane kapewa pasi yeye na goli kipa kaanguka kagongesha besela.
Kocha nadhani anamwonea aibu Boko kwakuwa ni Kepteni wa timu.
Tukitaka kushinda kimataifa nafasi ya boko ni LAZIMA ibadilishwe, acheze hata kwasi au Salamba au kama Kichuya atajirekebisha.
Ninavyo mwona uchezaji wa Boko sidhani kama ataweza kubadirika.
Anapapara sana akipewa pasi, Labda anachowaza ni kuweka rekodi ya kufunga magoli mengi tu basi.
Boko achukue mda kuangalia Clips zake za video aone anavyocheza hovyo sana.
Sitaki kumkatisha tamaa ila haonekani kujirekebisha tatizo lake.
Kule mbabane kachomekewa pasi murwaa na CCC dakika ya tisa tu. Yeye na kipa anapaparika na kumpasia kipa na kudondoka, ile ni aibu kwa mshambuliaji.
Kama ilikuwa bahati mbaya mbona huo mtindo unajirudiarudia sana ?
Hadi Leo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu Boko sijui anatumia nini mara nyingi yeye anaharibu halafu unashangaa Okwi ndio anatolewa Boko anaua molari ya Timu pia Kichuya aache papara akipata mpira lazima apooze halafu badala ya kumpa pasi mchezaji aliye karibu naye anapiga mipira mirefu inayopotea pia anapiga mashuti hata pale pasipostahili mwingine anayetakiwa kujirekebisha ni ShabalalaWashambuliaji wa Simba kama wangejua kumtumia Chama basi wangefunga magoli mengi sana sana.
Boko ameshindwa kumtumia chama kabisa, kapewa pasi za wazi nyingi na amezipoteza, kule mbabane kapewa pasi yeye na goli kipa kaanguka kagongesha besela.
Kocha nadhani anamwonea aibu Boko kwakuwa ni Kepteni wa timu.
Tukitaka kushinda kimataifa nafasi ya boko ni LAZIMA ibadilishwe, acheze hata kwasi au Salamba au kama Kichuya atajirekebisha.
Ninavyo mwona uchezaji wa Boko sidhani kama ataweza kubadirika.
Anapapara sana akipewa pasi, Labda anachowaza ni kuweka rekodi ya kufunga magoli mengi tu basi.
Boko achukue mda kuangalia Clips zake za video aone anavyocheza hovyo sana.
Sitaki kumkatisha tamaa ila haonekani kujirekebisha tatizo lake.
Kule mbabane kachomekewa pasi murwaa na CCC dakika ya tisa tu. Yeye na kipa anapaparika na kumpasia kipa na kudondoka, ile ni aibu kwa mshambuliaji.
Kama ilikuwa bahati mbaya mbona huo mtindo unajirudiarudia sana ?
Hadi Leo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
maviiii unamjua makambovic vizuri ww