Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyinyi ndio kiwanda Cha majungu TanzaniaNimekaa paleeee!!! Niite shujaa
Kama Chama atadanganywa na kukubali kubaki Simba kwa robertihno atasugua bench. Hifadhi vizuri Uzi huu. Wanamtaka Chama ni viongozi na mashabiki sio kocha. Kwa robertihno ni heri ya mkude na nyoni kuliko Chama.Si mlisema mmeshamsajili huko utopoloni?
onyesha ushujaa wako, tukisema huko kwenu wenye akili ni wawili mnabisha.Nimekaa paleeee!!! Niite shujaa
Bado upo mkuu,angalia usijeota mizizi hapo shujaa wa mchongoNimekaa paleeee!!! Niite shujaa
Wewe nimekwambia tunza huu Uzi ili uje unisite, tabu yako Iko wapi?onyesha ushujaa wako, tukisema huko kwenu wenye akili ni wawili mnabisha.
kwanini usijifunze kwanini usijifunze kwa kaka zako Changaule na Tate unabaki kujaza forum kwa post za kijinga