Cleaner/Mtu wa Usafi Ofisini Anahitajika

Cleaner/Mtu wa Usafi Ofisini Anahitajika

Usichukulie poa udhaifu wa mtu mwingine.. Ww hiyo kazi ungepewa ungeiweza? 7-8 upo kazin ni masaa mangap hayo?
Hakuna kupumzika
80k tu
Hata kama tunatoa fursa basi tusipend kufaidika sisi na tunaowapa tuwanyonye
ninaekuajiri sipumziki nipo kazini siku zote masaa yote jicho kwa jicho,nikupe wewe off uende wapi? hayo mapunziko kwani binafsi siyataki?
 
wote wana kazi na nikiwaajiri ndugu zangu mshahara naupunguza.

Umekuja kufanya kazi kwangu sio kuvuna pesa, Make Your Money kisha nenda kaizalishe na wewe uajiri watu uwalipe wanavyotaka wao.
Una uhakika kweli kuwa ndugu zako wote wa koo ya baba yako na ya mama yako wapo kazini?????



Chini ya mbingu hii hii na Mungu huyu huyu????
 
Back
Top Bottom