Cleansheets: Diarra ni "mchumba" tu kwa Spider Man

Cleansheets: Diarra ni "mchumba" tu kwa Spider Man

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Msimu uliopita wa 2023/2024 Golikipa wa Coastal Union Ley Matampi aliibuka kuwa shujaa na kuwa mlinda mlango bora wa Ligi Kuu akiwa na CleanSheet 15 huku Djigui Diarra wa Yanga akiwa na CleanSheet 14.

Mpaka sasa Spider ana cleansheet 13, maana baki mechi 1 tu amfikie Diarra kwa cleansheets za msimu wake mzima.
Unadhani amezipata kwa kubahatisha? Hapana, kando ya ubora wa muundo wa Simba katika ulinzi, kuna ubora binafsi wa Camara. Tazama ile save ya maana aliyofanya jana dakika za nyongeza. Hata refa alishahesabu goli, nikaona akitaka kugeuka kati.
 
View attachment 3223756
Msimu uliopita wa 2023/2024 Golikipa wa Coastal Union Ley Matampi aliibuka kuwa shujaa na kuwa mlinda mlango bora wa Ligi Kuu akiwa na CleanSheet 15 huku Djigui Diarra wa Yanga akiwa na CleanSheet 14.

Mpaka sasa Spider ana cleansheet 13, maana baki mechi 1 tu amfikie Diarra kwa cleansheets za msimu wake mzima.
Unadhani amezipata kwa kubahatisha? Hapana, kando ya ubora wa muundo wa Simba katika ulinzi, kuna ubora binafsi wa Camara. Tazama ile save ya maana aliyofanya jana dakika za nyongeza. Hata refa alishahesabu goli, nikaona akitaka kugeuka kati.
Mambo ya kusema Diarra ni mchumba kwa kipa wa Simba, huko ni kuchochea ushoga, ungetumia lugha nyingine iliyo nzuri zaidi na yenye staha. Hata kama ndiyo utani wa jadi, usiende kwenye kudhalilishana namna hiyo.
 
View attachment 3223756
Msimu uliopita wa 2023/2024 Golikipa wa Coastal Union Ley Matampi aliibuka kuwa shujaa na kuwa mlinda mlango bora wa Ligi Kuu akiwa na CleanSheet 15 huku Djigui Diarra wa Yanga akiwa na CleanSheet 14.

Mpaka sasa Spider ana cleansheet 13, maana baki mechi 1 tu amfikie Diarra kwa cleansheets za msimu wake mzima.
Unadhani amezipata kwa kubahatisha? Hapana, kando ya ubora wa muundo wa Simba katika ulinzi, kuna ubora binafsi wa Camara. Tazama ile save ya maana aliyofanya jana dakika za nyongeza. Hata refa alishahesabu goli, nikaona akitaka kugeuka kati.
Huyo Masinga alivyojipinda kwenye huo mshuti wa mwisho, ukijipinda hivyo kunako lazima utoke na mapacha wanne.
 
Mwasibu acha kuweweseka. Ligi bado haijafikia tamati. Ndiyo kwanza iko katikati, ila wewe umeshaanza kutuletea zile takwimu zako za Kibu Denis vs Fiston Mayele, halafu mwisho wa siku unaishia kuukimbia uzi wako.
 
View attachment 3223756
Msimu uliopita wa 2023/2024 Golikipa wa Coastal Union Ley Matampi aliibuka kuwa shujaa na kuwa mlinda mlango bora wa Ligi Kuu akiwa na CleanSheet 15 huku Djigui Diarra wa Yanga akiwa na CleanSheet 14.

Mpaka sasa Spider ana cleansheet 13, maana baki mechi 1 tu amfikie Diarra kwa cleansheets za msimu wake mzima.
Unadhani amezipata kwa kubahatisha? Hapana, kando ya ubora wa muundo wa Simba katika ulinzi, kuna ubora binafsi wa Camara. Tazama ile save ya maana aliyofanya jana dakika za nyongeza. Hata refa alishahesabu goli, nikaona akitaka kugeuka kati.
Mlimpamba hivi hivi akarukia faulp ya chama iliyokuwa inatoka nje akairudisha ndani na mkaanza kujiliza hadi vile viajuza vyenu vililia. 😀😀😀
 
Mambo ya kusema Diarra ni mchumba kwa kipa wa Simba, huko ni kuchochea ushoga, ungetumia lugha nyingine iliyo nzuri zaidi na yenye staha. Hata kama ndiyo utani wa jadi, usiende kwenye kudhalilishana namna hiyo.
Angetumia hata neno pazia au sio
 
Diarra ni mchumba tu kwa camara. Clean sheet 13 kwa 8 tofauti clean sheet 5.
 
Miutopolo Ukiona hivi inauumiiiaaaa...Chikolaa akuje ubaya ubwelani
 
Back
Top Bottom