OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Crown FM wanaiba content zetu, leo wanajadili Saves za Spider na Issue ya Marefu ambazo tulijadili jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kibogoyoHata chujio sio mbaya
Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.Diarra ni mchumba tu kwa camara. Clean sheet 13 kwa 8 tofauti clean sheet 5.
Sawa.una jingine! Upate msaada!Mwisho wa msimu mtachukua kombe la clean sheet kama lile la kiatu cha Saido
Lkn tunakubaliana Camara ana clean sheet nyingi au siyo,,,😁😁Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. ,Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.
Ndio maana nikakwambia muulize mwasibu akuelekeze hesabu za uwianoLkn tunakubaliana Camara ana clean sheet nyingi au siyo,,,😁😁
Mimi inanihusu nini? Kwani mimi ndiye niliyemkataza asicheze?Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.
Eti tahira [emoji23][emoji1787][emoji1787]Tahira katika moja na mbili!!.