Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Mtani hapo mlinyimwa Haki yenu hii ligi miyeyusho sanaView attachment 2937967
Hii nayo?
Nambie kaka πππMtani π€£π€£π€£
PoleNambie kaka πππ
Naunga mkono hojahaya ni maelekezo kutoka tifutifua,haijatosha kutupangia mechi mfululizo wakaamua watuue
Walimnyima chama hattrick asiimbwe sana kuliko pacomeMtani hapo mlinyimwa Haki yenu hii ligi miyeyusho sana
Mtani jana nimelia sanaππMkae kwa kutulia utozidad,utopolo...maana kwny mechi yetu pale kirumba mlifurahia sana maamuzi ya yule refa alietaka kupata kipondo siku ile kwa maamuzi mabaya kwa mnyama....
Asanteππ€£ππPole mtani wangu.. Vincenzo Jr
Mm sikuangalia bana..nimeamka nafungua watsup nakuta status zimechafuka kwa emoj kuangalia hee kumbe mmepigwaa..pole sana mtaniMtani jana nimelia sanaππ
Fei katufunga jana ππMm sikuangalia bana..nimeamka nafungua watsup nakuta status zimechafuka kwa emoj kuangalia hee kumbe mmepigwaa..pole sana mtani
Injinia awake na saini yakeBarua iandikwe ya malalamiko chap chap.
Hao si machawa wenu? Mbona sisi hawakuzungumzia ile faulo pale mwanza? Na lile goli walilosema offside? HahahahhhView attachment 2938034
Embu sikiliza vipindi vya michezo Leo wote wamesema ni offside ππ Cc Kalpana
Marefa wanazingua sana yaani πππ€£Hao si machawa wenu? Mbona sisi hawakuzungumzia ile faulo pale mwanza? Na lile goli walilosema offside? Hahahahhh