Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Halafu anapambana sana. Husler huyo dogo.Mzize ana kipaji kikubwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu anapambana sana. Husler huyo dogo.Mzize ana kipaji kikubwa tu
Waulize walio lambwa goli 5Mzizee mwenyewee sasaaa🤣🤣watajuta maana yee akifika ndani ya 18 ya adui hugeuka kua beki wa Timu pinzanii anabutua puuuuu......ni machachalii🤣🤣
Kashajilekebisha utamuona tarehe 8Mzizee mwenyewee sasaaa🤣🤣watajuta maana yee akifika ndani ya 18 ya adui hugeuka kua beki wa Timu pinzanii anabutua puuuuu......ni machachalii🤣🤣
Auzwe tupate pesa ya kwenda kutafuta akina pacome wengine huko kwenye viunga vya west Africa na sio kuwekeza kwenye development structure hili tupate akina pacome wa hapa hapa Tanzania au sio? Basi sawaAuzwe tupate pesa ya kuwachukua wakina Pacome wengine..