Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hadhina [emoji777]hazina[emoji736]Kama Nabi ataendelea kuwepo Yanga na kutopewa timu ya Timu ya Taifa, ipo siku huyu Clement Mzize atachezea timu kubwa barani Afrika au Ulaya.
Uwepo wa Top Strikers kama Mayele na Musonda unamuimarisha katika ushindani wa hali ya juu sana Mzize.
Kukosa penati jambo la kawaida Clement Mzize is the best kwa umri wake aendelee kupewa penati, aendelee kukosea na siku atakosa hata kwenye mechi ngumu ya kimaamuzi ila itamjenga zaidi, heavy is the head that wears the crown, bright future ahead kwake.
View attachment 2536315
Kwa africa bado kinda sana.Hahahah eti kwa umri wake, mkuu, mzize sio chini ya miaka 25 yani ana umri sawa na Azizi Ki.. hakuna cha hazina hapo, huu ndo muda wake maana umri umemtupa mkono
Sijawahi kuona Haaland ikipiga penati ya mwendo kasiHaaland mtupu kasoro nywele tu.
Jamaa ni mtafuta magoli mzuri tu. Akiendelea hivi atafika mbali. Sema tu nje ya uwanja aache ustaa wa sijui kupaka piko, kiduku, etc. Hizo hajafikia bado na huenda zikambadilisha tabia.Kama Nabi ataendelea kuwepo Yanga na kutopewa timu ya Timu ya Taifa, ipo siku huyu Clement Mzize atachezea timu kubwa barani Afrika au Ulaya.
Uwepo wa Top Strikers kama Mayele na Musonda unamuimarisha katika ushindani wa hali ya juu sana Mzize.
Kukosa penati jambo la kawaida Clement Mzize is the best kwa umri wake aendelee kupewa penati, aendelee kukosea na siku atakosa hata kwenye mechi ngumu ya kimaamuzi ila itamjenga zaidi, heavy is the head that wears the crown, bright future ahead kwake.
View attachment 2536315
Hakuna ulazima wa kufanana kila kitu.Sijawahi kuona Haaland ikipiga penati ya mwendo kasi
Wewe ni mama ake? Ulizaliwa naye? Hebu acheni kubeba mizigo isiyo wahusu. Mnasahau hawa na athletts wanafanya mazoezi na kula vyakula ivyo inawapelekea kuonekana wakubwa kimaumbo kuliko umri wao.Hahahah eti kwa umri wake, mkuu, mzize sio chini ya miaka 25 yani ana umri sawa na Azizi Ki.. hakuna cha hazina hapo, huu ndo muda wake maana umri umemtupa mkono
Waliofika mbali Simba wa ngapi? na walifika wapi.Akitaka afike mbali aende Simba. Uto hawaachiki Kirahisi. Ajifunze Kwa akina Ngasa, Tegete na sasa Feisal.
Niliona wadau wanauliza lini kacheza timu ya vijana walipoenda MaliWewe ni mama ake? Ulizaliwa naye? Hebu acheni kubeba mizigo isiyo wahusu. Mnasahau hawa na athletts wanafanya mazoezi na kula vyakula ivyo inawapelekea kuonekana wakubwa kimaumbo kuliko umri wao.
Refer Mbappe, Bellingham, Haalland, Upamecano, De Ligt hawa jamaa kwa mara ya kwanza ukiwaona huwezi sema walikua under 20 kwa performances zao uwanjani. Sijasema Mzize ni u20 ila huyu dogo havuki 22
Ile penalt bado sijajua ulipaaje pajaaje paaje
Sasa povu lote hilo la nn kwani suala la wachezaji kudanganya umri ni jambo geni barani Afrika?Wewe ni mama ake? Ulizaliwa naye? Hebu acheni kubeba mizigo isiyo wahusu. Mnasahau hawa na athletts wanafanya mazoezi na kula vyakula ivyo inawapelekea kuonekana wakubwa kimaumbo kuliko umri wao.
Refer Mbappe, Bellingham, Haalland, Upamecano, De Ligt hawa jamaa kwa mara ya kwanza ukiwaona huwezi sema walikua under 20 kwa performances zao uwanjani. Sijasema Mzize ni u20 ila huyu dogo havuki 22
Sio kibongo bongo mkuu, wanaomfahamu wanasema kamaliza form 4 2015 na kapiga bodaboda miaka ya kutosha,, huyo jamaa sio chini ya 26Wewe ni mama ake? Ulizaliwa naye? Hebu acheni kubeba mizigo isiyo wahusu. Mnasahau hawa na athletts wanafanya mazoezi na kula vyakula ivyo inawapelekea kuonekana wakubwa kimaumbo kuliko umri wao.
Refer Mbappe, Bellingham, Haalland, Upamecano, De Ligt hawa jamaa kwa mara ya kwanza ukiwaona huwezi sema walikua under 20 kwa performances zao uwanjani. Sijasema Mzize ni u20 ila huyu dogo havuki 22
Wacha umbeya wewe, Mzize ni mchezaji wa Yanga sc u-20 kapandishwa timu ya senior this season. No research no right to speak, keep your mouth shutHahahah eti kwa umri wake, mkuu, mzize sio chini ya miaka 25 yani ana umri sawa na Azizi Ki.. hakuna cha hazina hapo, huu ndo muda wake maana umri umemtupa mkono