Clement Mzize ni hazina ya Taifa ni suala la muda tu!

Clement Mzize ni hazina ya Taifa ni suala la muda tu!

Watu wanaongelea vitu vingi sana vinavyorudisha nyuma soka la Africa lakini moja ya vitu hvyo ni ushirikina hyo dogo ni mzuri nadhani Tanzania hakuna mawakala wazuri ila kama kungekuwa na mawakala wazuri basi angekuwa njee mda huu anasakata kabumbu
Kulikuwa na miraj athumani na Rashid juma walipigwa dawa wakakaa nje na safari yao kwenye soka la kulipwa ikaishia hapo dogo inabidi ajipange sana.
 
Sio kibongo bongo mkuu, wanaomfahamu wanasema kamaliza form 4 2015 na kapiga bodaboda miaka ya kutosha,, huyo jamaa sio chini ya 26
Hizo ndio story mnazopenda. Wanaomfahamu kina nani hao watupe ushahidi
 
Sio kibongo bongo mkuu, wanaomfahamu wanasema kamaliza form 4 2015 na kapiga bodaboda miaka ya kutosha,, huyo jamaa sio chini ya 26
Tukubaliane kamaliza F4 mwaka 2015 akiwa na 17 yrs + 7 ni 24. Umefurahi?
 
Sasa povu lote hilo la nn kwani suala la wachezaji kudanganya umri ni jambo geni barani Afrika?

Kwani wao wanakula chakula gani ambacho ss hatuli?

Hao akina mbape unao wasema wana miili mikubwa lakini ukiangalia sura zao tu unajua kuwa ni wadogo kiumri.

Huyo Mzinze hata angekuwa ana mwili mdogo bado sura na ndevu zake zilivyo komaa vinamuumbua jinsi alivyo mkubwa.

Huyo mshikaji kwa kumuangalia umri wake si chini ya 25 ila kwa soka la kiafrika kwa umri huo bado ni mdogo akijitambua ana nafasi ya kufika bali.
Mkuu unamkadiria umri wa mtu kwa kutizama sura yake? Yule Yousufa Moukoko unaweza sema ana chini ya 20? Jeremie Boga na huyu Boga toka anaanza kacheza timu za vijana Chelsea naye wangeamua kuangalia surasi wangemkataa?
 
Angusha simu popote, Ila usiombe uiangushe alipo bubu.Kisha bubu ahisi kwamba hata akiongea kama wanavyoongega mabubu ataeleweka upande wa pili.SASA BUBU HUYU KAINUNUA KABISAAA SIMU.
 
Mkuu unamkadiria umri wa mtu kwa kutizama sura yake? Yule Yousufa Moukoko unaweza sema ana chini ya 20? Jeremie Boga na huyu Boga toka anaanza kacheza timu za vijana Chelsea naye wangeamua kuangalia surasi wangemkataa?
Mkuu hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kumtetea mzinze maana suala la wachezaji wa kiafrika kudanganya umri ni kitu cha kawaida sana na tumesha zoea na kuona ni kitu cha kawaida, haiwezekani mtu mwenye muonekano kama wa mzinze akawa chini ya miaka 20.
 
Mkuu hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kumtetea mzinze maana suala la wachezaji wa kiafrika kudanganya umri ni kitu cha kawaida sana na tumesha zoea na kuona ni kitu cha kawaida, haiwezekani mtu mwenye muonekano kama wa mzinze akawa chini ya miaka 20.
Hakuna anaemtetea. Mi natumia muda wangu kukuelewesha naona wewe ndio unatumia nguvu kubwa kupotosha.
 
Kama Nabi ataendelea kuwepo Yanga na kutopewa timu ya Timu ya Taifa, ipo siku huyu Clement Mzize atachezea timu kubwa barani Afrika au Ulaya.
1677944372125.png
 
Kwa style hii basi hata kisinda pia ni wonderkid [emoji16]
 
Mchezaji unakosa penti pale???afu unaita hazina???
 
Back
Top Bottom