Clement Mzize sikia sauti hii itokayo nyikani

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Unacheza mpira bila umakini wowote ule,mradi unapangwa kucheza badi we unacheza tu.

Mechi moja unacheza vizuri me hi nyingine unacheza vibaya. Leo umecheza hovyo kabisa, umekosa magoli kijinga kabisa, hivi wewe huwa hujitathmini?

Sasa sikia anza kufanya mazoezi kwa bidii, unapokuwa na wenzio na pia uwe unaanza kufanya peke yako, ongea na washambuliaji waliostaafu wakufunze, ongea na makocha wakupe extra coaching kuhusu mbinu za kufunga, ona aibu kwa jinsi unavyocheza
 
Nadhani alipoambiwa yeye ni mshambuliaji akajua kazi yàke ni kwenda mbele bila kujua huko mbele anapeleka nini!!
 
Alipokengeuka na kuwa Muislamu, madini yakamnyookea.

Na bado.
 
Huyu bora kocha amrudishe kwenye utaratibu ule ule wa awali wa kutokea sub.
Halafu ataanza nani pale mbele mwenye fighting spirit ya juu kama yeye Mzize! (Ingawa ni kweli kuna wakati dogo anakosa utulivu na pia maamuzi sahihi).

Kama ni Joseph Guede, ni mchezaji anayesubiri aletewe mpira ndiyo afunge! Mpaka sasa amecheza mechi kadhaa, hana hata goli la kuotea! Au Kennedy Musonda ambaye na yeye utulivu kwake ni 0!

Tukubali tu Yanga mpaka sasa bado hatuna mshambuliaji wa kati wa kutumainiwa tangu aondoke yule mzee wa majini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…