Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TOP 50 WOMEN IN MANAGEMENT AFRICA 2023
CLEOPATRA MUKANGARA (Head of strategy and software Engineering Vodacom Tanzania.
View attachment 2560102View attachment 2560103View attachment 2560104
We love to see it..TOP 50 WOMEN IN MANAGEMENT AFRICA 2023
CLEOPATRA MUKANGARA (Head of strategy and software Engineering Vodacom Tanzania.
View attachment 2560102View attachment 2560103View attachment 2560104
Ni hiyo tuzo aliyoshika mkononi. Ukiona binti anafanya vizuri kwenye IT industry, ujue yuko very smart. Mpatie haki yake. Popote pale duniani, watu wote walioko kwenye IT industry ni very smart. Hata ule uvaaji wao tu wako tofauti kabisa na watu wengine, wanavaa very smart. Fanya uchunguziKuwa head of department Vodacom Tz ndio unakuwa top 50 Africa?..
Naheshimu mawazo yako ila kwa karne hii mtu kuishi uku ukiwaza kuja ktegemea kiinua mgongo naona ni ujinga uliopitiliza, binafsi bora kazi ya mkataba yenye mshahara unaoeleweka kuliko kutumikia hizo TGS sijui TSD ENalipenda jina la Cleopatra, mwenyekazi Ana kazi, huyu dada angepata kazi ttcl ingekuwa poa Sana, hizo kazi, tigo, Airtel, voda, mishahara mikubwa, Ila fainali uzeeni, alafu ukiumwa muda mrefu kibarua kinaweza kuwa matatani.
Inaonekana yoka kitambo yuko nje yq box tu... system sytem sa toka enzi za primary ana private desk fron home it means wazazi wamemtengenezea misingi yoka enziHuyu dada mama ake alikua waziri utawala wa Jakaya. Alipenda kusuka nywele za twende kilioni Dr Fenera PhD mwalimu UDSM.
Pia baba ake ni Prof Mukangara UDSM. Ana historia pale shule ya msingi mlimani alitengenezewa dawati lake na wazazi.
Kwa mawazo yangu ya ujinga, na kwa mawazo yako yasiyo na ujinga.Naheshimu mawazo yako ila kwa karne hii mtu kuishi uku ukiwaza kuja ktegemea kiinua mgongo naona ni ujinga uliopitiliza, binafsi bora kazi ya mkataba yenye mshahara unaoeleweka kuliko kutumikia hizo TGS sijui TSD E
Huyu dada mama ake alikua waziri utawala wa Jakaya. Alipenda kusuka nywele za twende kilioni Dr Fenera PhD mwalimu UDSM.
Pia baba ake ni Prof Mukangara UDSM. Ana historia pale shule ya msingi mlimani alitengenezewa dawati lake na wazazi.
Nilimuacha pale mlimani primaryHuyu dada mama ake alikua waziri utawala wa Jakaya. Alipenda kusuka nywele za twende kilioni Dr Fenera PhD mwalimu UDSM.
Pia baba ake ni Prof Mukangara UDSM. Ana historia pale shule ya msingi mlimani alitengenezewa dawati lake na wazazi.