Climate Change is Real?

Climate Change is Real?

Dunia imeharibiwa sana kwa tamaa za baadhi ya watu
Watu hawajali wala kuona madhara ya hali ya hewa wanavyoiharibu
Kuna siku wameweka clip ya kiwanda kimemwaga sumu na kutiririka na Ng’ombe wakanywa maji na kufa wengi
Halafu wanahonga na kazi zinaendelea

Kwa Kweli lockdowns hizi zimefundisha mengi sana na serikali nyingi kuona ushuhuda wa hewa ilivyokuwa Safi
Yaani Mumbai leo unaona mawingu
Na flamingo wametua kwa maelfu
Hapa nilipo serikali imetoa hela nyingi sana za kutengeneza njia za cycling kwa haraka sana na nchi zingine wanatoa bicycle bure
Wengine serikali inatoa 30% ya bei na service bure

Kweli tunaona hali ya hewa ilivyobadilika hasa huku kwenye nchi za viwanda vingi
Na ndege kuwekwa grounded hali ni tofauti kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Dunia imeharibiwa sana kwa tamaa za baadhi ya watu
Watu hawajali wala kuona madhara ya hali ya hewa wanavyoiharibu
Kuna siku wameweka clip ya kiwanda kimemwaga sumu na kutiririka na Ng’ombe wakanywa maji na kufa wengi
Halafu wanahonga na kazi zinaendelea

Kwa Kweli lockdowns hizi zimefundisha mengi sana na serikali nyingi kuona ushuhuda wa hewa ilivyokuwa Safi
Yaani Mumbai leo unaona mawingu
Na flamingo wametua kwa maelfu
Hapa nilipo serikali imetoa hela nyingi sana za kutengeneza njia za cycling kwa haraka sana na nchi zingine wanatoa bicycle bure
Wengine serikali inatoa 30% ya bei na service bure

Kweli tunaona hali ya hewa ilivyobadilika hasa huku kwenye nchi za viwanda vingi
Na ndege kuwekwa grounded hali ni tofauti kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
Hakika Mkuu.
 
Hizi athari za mvua kubwa pamoja na mafuriko ni moja wapo ya dalili za climate change.Kutokana na kuvurugika kwa mfumo wa Hydrological Cycle. Kwa sababu ya ongezeko la joto lilosababishwa na global warming linafanya ongezeko la evaporation process katika maziwa, mito, bahari pamoja na bwawa nakufanya ongezeko kubwa la maji katika atmosphere na baadae hayo maji ya kiundergo further process yanasababisha kitu kinachoitwa Heavy Rains. Heavy Rains ikikutana na bare land or surface automatically flooding inatokea.
Unaweza kuthibitisha haya unayo yaandila hapa kama ni ya kweli ?
 
Unaweza kuthibitisha haya unayo yaandila hapa kama ni ya kweli ?
👍
1589310919304.png
 
Hizi athari za mvua kubwa pamoja na mafuriko ni moja wapo ya dalili za climate change.Kutokana na kuvurugika kwa mfumo wa Hydrological Cycle. Kwa sababu ya ongezeko la joto lilosababishwa na global warming linafanya ongezeko la evaporation process katika maziwa, mito, bahari pamoja na bwawa nakufanya ongezeko kubwa la maji katika atmosphere na baadae hayo maji ya kiundergo further process yanasababisha kitu kinachoitwa Heavy Rains. Heavy Rains ikikutana na bare land or surface automatically flooding inatokea.
Ni lini Global climate ilishakuwa static?..Haibadiliki?.
250 BC to 400 AD kulitokea ongezeko kubwa sana la joto barani ulaya,'The Roman Warm Period'.Kipindi hicho population ya dunia nzima haifiki 100 million,na wala kulikuwa hakuna industrial activities kama sasa.Je unaweza kuniambia kitaalamu hii ilisababishwa na wadadamu au nini?.Ifi not unawezaje kutuambia eti ongezeko la watu ndio linasababisha climate change watati climate has been changing since BC and AD's.
 
Ni lini Global climate ilishakuwa static?..Haibadiliki?.
250 BC to 400 AD kulitokea ongezeko kubwa sana la joto barani ulaya,'The Roman Warm Period'.Kipindi hicho population ya dunia nzima haifiki 100 million,na wala kulikuwa hakuna industrial activities kama sasa.Je unaweza kuniambia kitaalamu hii ilisababishwa na wadadamu au nini?.Ifi not unawezaje kutuambia eti ongezeko la watu ndio linasababisha climate change watati climate has been changing since BC and AD's.

Ni kweli kabisa Roman Warm Period ilitokea kati ya mwaka 250 BC – 400 AD katika bara la Ulaya na Northen Antlantic. Lakini ni miaka mingi sana iliyopita hakuna mtu wa kizazi cha sasa aliyekuwepo miaka hiyo bali kwa kutumia study ya Paleoclimatology (the branch of science that deals with climates prevalent at particular times in the geological past) na kuangalia vitu kama Tree Rings Structure, Ocean Deep Sediment, Lake Sediment, Coral Formation na Glacial Formation. Hata hivyo ni tukio lililotokea kwa Bara la Europe tu, haitoshi kusema kwamba ni tukio la Dunia nzima. Kuna baadhi ya Article zinajaribu kusema kwamba ni tukio la Natural Phenomenal, lakini turudi kumwangalia mwanadamu katika Late Stone Age ndipo alipoanza kufuga, kulima pamoja na kuongeza shughuli nyingi za matumizi ya moto lakini ndio stage ambayo binadamu anaanza kwenda against na nature. Kwa hiyo kuna baadhi ya wanasayansi wamejaribu kulink Roman Warm Period na Late stone Age, kuwa huenda ilisababishwa na mwanadamu hili kukidhi mahitaji yake kupata eneo la kufuga, kulima pamoja na shughuli ya ujenzi wa makazi, hospitali na majengo mengine muhimu kwa ajli ya maisha ya mwanadamu. It means mwanadamu aliaanza kukata miti na kupungaza rate ya evapo-transpiration na kusababisha slow formation of rainfall na huku akitokea increase of warm air at the surrounding and automatically cause rapid increase of environmental temperature. Swali lako limeegemea kwenye theory na theory ni Nadharia (either inaweza kuwa kweli au Sikweli).

21th Century ya Climate Change; Dunia nzima inalia kuhusiana na mabadiliko ya climate change, sio Afrika, sio Ulaya, sio Amerika ya Kaskazini wala Kusini kila sehemu ni vilio kuhusiana na Climate Change. Baadae ntajibu swali lako kwa nini ongezeko la watu Duniani linasababisha climate change?
 
Ni lini Global climate ilishakuwa static?..Haibadiliki?.
250 BC to 400 AD kulitokea ongezeko kubwa sana la joto barani ulaya,'The Roman Warm Period'.Kipindi hicho population ya dunia nzima haifiki 100 million,na wala kulikuwa hakuna industrial activities kama sasa.Je unaweza kuniambia kitaalamu hii ilisababishwa na wadadamu au nini?.Ifi not unawezaje kutuambia eti ongezeko la watu ndio linasababisha climate change watati climate has been changing since BC and AD's.
Climate Change haijawai kuwa static na haitakuja kuwa static kwa nn? Kama utarefer katika reply iliyopita wakati najibu swali lako la Roman Warm Period nilisema kwamba inawezekana ikawa imechochewa na Natural phenomenal.
Hebu tuiangalie tena kidogo climate change nini? na sababu zake nafikiri itasaidia kufungua ubongo wetu kwa namna nyingine.

Climate Change: refers to any significant change in the measures of climate lasting for an extended period of time. Lakini kuna Natural Causes of Climate Change na Anthropogenic Causes of Climate Change.
 
Climate Change haijawai kuwa static na haitakuja kuwa static kwa nn? Kama utarefer katika reply iliyopita wakati najibu swali lako la Roman Warm Period nilisema kwamba inawezekana ikawa imechochewa na Natural phenomenal.
Hebu tuiangalie tena kidogo climate change nini? na sababu zake nafikiri itasaidia kufungua ubongo wetu kwa namna nyingine.

Climate Change: refers to any significant change in the measures of climate lasting for an extended period of time. Lakini kuna Natural Causes of Climate Change na Anthropogenic Causes of Climate Change.
mkuu nakufuatilia... bado haujasema namna ongezeko la binaadamu linavyo weza kusababisha climate change.
 
mkuu nakufuatilia... bado haujasema namna ongezeko la binaadamu linavyo weza kusababisha climate change.
Ahsante sana; Hili niweze kwenda kwa mpangilio mzuri na kila mmoja wetu kupata kile alichokikusudia kukipata katika mada hii ya Climate Change Is Real, ntatumia Maandiko Ya Kiimani Kidogo pamoja na Somo la Historia ya Mwanadamu (Evolution Of Man) hili kuweza kukumbushana tulipotoka na hadi hapa tulipofikia na kuweza kuona ni impact gani za kimazingira sisi kama Wanadamu tuliweza kuzisababisha kwanzia mwanzo wa maisha yetu mpaka hivi sasa?
 
Ahsante sana; Hili niweze kwenda kwa mpangilio mzuri na kila mmoja wetu kupata kile alichokikusudia kukipata katika mada hii ya Climate Change Is Real, ntatumia Maandiko Ya Kiimani Kidogo pamoja na Somo la Historia ya Mwanadamu (Evolution Of Man) hili kuweza kukumbushana tulipotoka na hadi hapa tulipofikia na kuweza kuona ni impact gani za kimazingira sisi kama Wanadamu tuliweza kuzisababisha kwanzia mwanzo wa maisha yetu mpaka hivi sasa?
Sawa dondosha hints hizo
 
1589574242418.png


Climate Change Is Real
Tukirudi Mwanzo kabisa katika mafundisho ya Dini, mwanadamu ndiye kiumbe pekee ambaye Mwenyezi Mungu alimpa mamlaka ya kutawala viumbe hai wote wa ardhini na majini, na kupewa mamlaka ya kuitunza Dunia pamoja na viishivyo Duniani. Let's look at Genesis 1:28 “Mungu akawabariki, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi." Nimegusia maandiko haya ya kiimani kidogo hili kila mmoja wetu aweze kujua kwamba tokea mwanzo wa uumbaji katika Dunia hii na mpaka sasa tulipo Mwanadamu ndiye kiumbe pekee ambaye Mwenyezi alimpa mamlaka ya kuitawala Dunia na Kuitunza, kila unachokiona katika Dunia hii kipo kwa sababu, Kwanzia miti, ndege, wadudu, nyoka na viumbe hai wengine wote ni jukumu letu kivitunza kwa kizazi cha sasa na baadae. Please Don't Forget Our Nature Mission.

EVOLUTION OF MAN
Lakini ukikaa na kufatilia vizuri stage za maisha ya Mwanadamu alizopitia kwanzia Early, Middle and Late Stone Age hakika utagundua Mwanadamu ni kiumbe wa pekee mwenye akili nyingi sana ambaye aliweza kuzitatua changamoto za maisha katika kila stage aliyopitia. Let's start with Early Stone Age - Hakuna kipindi ambacho Mwanadamu aliishi kwa amani na ustaarabu na mazingira kama kipindi hiki, lakini kabla sijaendelea mbele naomba wote tujue neno Stone Age linamaanisha nini? Ni kipindi ambacho Mwanadamu alitegemea sana Mawe kama Nyenzo kuu ya kifaa chake cha kazi pamoja na silaha yake ya kujikinga na kuwindia ilikuweza kupata chakula chake cha kila siku. Katika kipindi hiki Mwanadamu alitegemea mawe kwa asilimia kubwa katika shughuli zake za kila siku. Lakini pia mwanadamu aliishi maisha ya Nomadic Lifestyle - (Ni mtu wa kuhama kutoka eneo moja kwenda eneo jingine). Kwa sababu hiyo alikuwa hana Permanent Settlement na kuweza kuyapa nafasi Mazingira uwezo mkubwa wa Kujigenereta (kujitengeneza upya) ukizangatia population numbers ya mwanadamu kwa zama hizi almost ilikuwa is equal to zero. Lakini ni kipindi ambacho Mwanadamu alikuwa bado haja discover Fire kwa hiyo aliishi kwa kula sana matunda ya miti, mizizi na kuwinda kwa kiasi. Kwa nini nimeongelea hili la Moto, hakuna kitu muhimu kwenye maisha yetu lakini pia kina uharibifu mkubwa kwenye mazingira kama moto, japo ni one of the strong source of energy. Kama utakuwa ni mfuatiliaji mzuri wa movie, kuna Movie inaitwa Jungle Book iliyotoka mwaka 2016 na Director wa hii Movie anaitwa Jonathan Favreau chini ya Production Company ya Walt Disney Pictures. Main issue katika hii movie ni Red Flower (Moto), ukiutumia ndivyo sivyo basi utateketeza kila kitu na kugeuza Mbuga, Msitu au Hifadhi kuwa Jangwa na kuleta madhara makubwa kwenye mazingira na kuweza kusababisha mabadiliko ya tabia nchi. Mbali na moto katika zama hizi Mwanadamu aliishi kwa kiasi, aliwinda kwa kiasi, alikula matunda kiasi kulingana na mahitaji husika ya siku hiyo alikuwa hana muda wa kuwaza kesho akiamka atakula nini, kwa hiyo hii iliweza kusaidia kufanya rate ya uharibifu wa mazingira katika kipindi cha Early Stone Age kuwa mdogo sana ulinganisha na zama nyingine. Hebu turudi kwenye kizazi chetu cha leo unakuta binadamu wa leo, nyama anaweka kwenye Freezer hata kilo 50 mpaka 100 ya kula leo na hata mieze mitatu mbele inayokuja😋, sema tunda lolote unalotaka nyumbani kwake utalikuta ndani ya Friji yake mpaka mengine yanaozea humo humo. Kwa hiyo ukimwangalia vizuri mwanadamu ameundergo transformation za different lifestyle ambazo zimemfanya hawe mbinafsi na kujiangalia yeye kama ndiye center of Universe na kusahau viumbe hai wengine pamoja na mazingira yanayomzunguka. I hope kesho tutaendelea na segment nyingine tena kulingana na maswali yaliyoulizwa, Ahsante Sana.
 
Global warming hakuna aliyesema kwamba haipo,tatizo hii nadharia nzima imeingiwa na siasa ndani yake,hata hao hao wansayansi wanakubali kwamba kuna siasa zimeingizwa ku exaggerate ionekane kwamba dunia inaisha kesho,.Kuna baadhi ya wanasiasa kule US kama Alex Orcasio Cortez,anadiriki kusema eti the world will end ni 12ears,na kuna watu wanaamini kabisa tena wasomi kweli...Hata ukitizama models mbalimbali zinazotumika ku record mwenendo wa joto kwenye atmosphere,Kuna European Model na Russian Model.Wanasayansi wanasema kuna uwezekano mkubwa European Model imekuwa Parameterized/Exaggerated ili kuifanya dunia ione joto linaongezeka kuliko miaka yote duniani..Russian model wanasema ina uhalisia na inaendana na hali halisi.Shida nyingine watu wanaamini Climate Channge inasababishwa na Global warming.Climate change is natural,kuwe na watu kusiwe na watu duniani,the climate will always change..,Japo kuna some sort of man made factors,lakini tusiwatishe watu eti climate change is always man made,,,..Hiki ndi huwa natofautiana na watu wengi kuhusu Climate change.
 
Global warming hakuna aliyesema kwamba haipo,tatizo hii nadharia nzima imeingiwa na siasa ndani yake,hata hao hao wansayansi wanakubali kwamba kuna siasa zimeingizwa ku exaggerate ionekane kwamba dunia inaisha kesho,.Kuna baadhi ya wanasiasa kule US kama Alex Orcasio Cortez,anadiriki kusema eti the world will end ni 12ears,na kuna watu wanaamini kabisa tena wasomi kweli...Hata ukitizama models mbalimbali zinazotumika ku record mwenendo wa joto kwenye atmosphere,Kuna European Model na Russian Model.Wanasayansi wanasema kuna uwezekano mkubwa European Model imekuwa Parameterized/Exaggerated ili kuifanya dunia ione joto linaongezeka kuliko miaka yote duniani..Russian model wanasema ina uhalisia na inaendana na hali halisi.Shida nyingine watu wanaamini Climate Channge inasababishwa na Global warming.Climate change is natural,kuwe na watu kusiwe na watu duniani,the climate will always change..,Japo kuna some sort of man made factors,lakini tusiwatishe watu eti climate change is always man made,,,..Hiki ndi huwa natofautiana na watu wengi kuhusu Climate change.
Je, unafikiri kipi kinacho sababisha utofauti kati ya European Model na Russian Model?
 
Global warming hakuna aliyesema kwamba haipo,tatizo hii nadharia nzima imeingiwa na siasa ndani yake,hata hao hao wansayansi wanakubali kwamba kuna siasa zimeingizwa ku exaggerate ionekane kwamba dunia inaisha kesho,.Kuna baadhi ya wanasiasa kule US kama Alex Orcasio Cortez,anadiriki kusema eti the world will end ni 12ears,na kuna watu wanaamini kabisa tena wasomi kweli...Hata ukitizama models mbalimbali zinazotumika ku record mwenendo wa joto kwenye atmosphere,Kuna European Model na Russian Model.Wanasayansi wanasema kuna uwezekano mkubwa European Model imekuwa Parameterized/Exaggerated ili kuifanya dunia ione joto linaongezeka kuliko miaka yote duniani..Russian model wanasema ina uhalisia na inaendana na hali halisi.Shida nyingine watu wanaamini Climate Channge inasababishwa na Global warming.Climate change is natural,kuwe na watu kusiwe na watu duniani,the climate will always change..,Japo kuna some sort of man made factors,lakini tusiwatishe watu eti climate change is always man made,,,..Hiki ndi huwa natofautiana na watu wengi kuhusu Climate change.
fact
 
Back
Top Bottom