Climate Change is Real?

Wasio penda pepo hao wanalamikia climate change, dunia ni mapito tu
Hakuna anayebisha kama dunia ni mapito, kama kuna kuzaliwa kwa nn kufa kusiwepo. Tunachokiongelea hapa ni kinyume kabisa na ulichokiandika. Ishu ni mwanadamu kujua majukumu yake na kuchukua hatua zaidi za kimazingira, kwenye shughuli yoyote anayoifanya hili kuweza kuitunza Dunia pamoja na mazingira yake kwa kizazi cha sasa na cha baadae.
 
Kilicho na mwanzo hakikosi mwisho let nature take it's cause,the world is already fucked n there's nothing we can do
 
Kilicho na mwanzo hakikosi mwisho let nature take it's cause,the world is already fucked n there's nothing we can do
Why we lets the nature take it's cause while 90% of climate change have been contribute by Anthropogenic Activities. Hey, think about this give me the feedback?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…