Climate Map: Only a Small Part of Kenya is Suitable for Agriculture, But We Produce More Food than Tanzania


Never quote a Tanzanian media here. Huko ni ujinga tupu uko.
International Centre for Agriculture can easily be a non-existent entity like the one that awarded your dictator Magufuli some phony peace award.

Also, reports by major international bodies are also quoted by credible media houses.
 
Kuna viwanda ving vingine vya unilever na vingine kibao ..na nyie hamunywi au kula vitu vyote mna export to Tz .UG .Rwnda etc ...industrial sugar ..ni kama sugar nyingne zote inatehesabiwa kwenye stats za sugar produced

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu rais wenu anayesema mnategemea Tanzania kwa chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni kuonesha tuna produce vyakula aina tofauti kwa wingi kama rice e.t.c.

Hutu depend maize pekee.
 
sasa nyie inawahusu nn? Ukisikia sifa za kijinga ndo izi malizeni kwanza yenu na yapo mengi yanawasumbua mkianza na ukabila, ufisadi, chuki, madeni sugu kwa taifa then ndo muanze kuyaongelea ya wenzenu ila sishangai maana kawaida mkenya anapenda sifa kuliko maelezo hata mamanzi wao huku tunawala sana kwa kupenda kusifiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…